Mume anatafutwa

mkuu Mbona code nyepesi ku decipher

baba wa mtoto ni mchaga na alimuacha kwa makofi so anamchukia huyo mwamba na wachaga woteee

[emoji23][emoji23][emoji23]

Hapana, baba mtoto alihama nchi akatuacha huku na ameshaendelea na maisha yake huko, ngoja na sisi tujitafute. Sio mchaga ni mnyakyusa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…