Bi mariam5
Member
- Feb 9, 2024
- 83
- 98
- Thread starter
- #61
Jina: Bi Mariam
Dini: Mkristo
????
Asiwe Mchanga: Mbona nasikia wachaga wana maokoto! Au unaogopa kufanywa msukule?
Ndio mimi ni mkatoliki safi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina: Bi Mariam
Dini: Mkristo
????
Asiwe Mchanga: Mbona nasikia wachaga wana maokoto! Au unaogopa kufanywa msukule?
Elimu yake: kuanzia degree
Ina maana hana uhakika vizuri na elimu yake[emoji1][emoji1]
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kuna vipengele kama vitatu vitaleta maswali; Umri wako, excl. ya wachaga na kuwa na mtoto.
Kila la heri unapotafuta joto.
Rudi kwa yule uliyemuacha
mkuu Mbona code nyepesi ku decipher
baba wa mtoto ni mchaga na alimuacha kwa makofi so anamchukia huyo mwamba na wachaga woteee
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nipo dodoma unaonaje tuendelee kuenjoy maisha huku unamsubiri huyo bwana wa kukuoa
Nakutakia kila la heri.
Umenikwaza tu hapo uliposema hutaki mchagga.
Ushanipata mwali, twenzetu PM...[emoji8]
Umeshachafua score board uwanja umeinama huo achana na habari za kuweka masharti maana hata sisi tuna masharti yetu vilevile na umeshayavunja
Dah Elimu imenikosesha mke[emoji134][emoji134]
Asiwemchagga tena kaandika na kaweka emoji Mchagga kamwachia alama ya mtoto mmoja
"K" imeishatembea kilometa ngapi? Tuanzie hapo!
Oh, kumbe we veteran humu [emoji3].
Good luck.
Hakika umempata niko hapa. Umri 33, Masters in Psychology and Behaviour Analysis . Kazi ya serikali nipo Singida.
Alimbabua kamoja alafu kapita hivi kwa hio hataki kurudia makosa yale yale ya kubabuliwa na kuachwa kando
university drop out vp[emoji54]
Mwenyezi Mungu akufanikishe haja na nia yako njema.
Muhimu sana ni kutokukata tamaa kutafuta na kuomba unachota hasa maeneo ambao hao unaowatafuta wako, mathalani kanisani unaposali....
Mungu akubariki sana...