Mume anatafutwa

Mume anatafutwa

mkuu Mbona code nyepesi ku decipher

baba wa mtoto ni mchaga na alimuacha kwa makofi so anamchukia huyo mwamba na wachaga woteee

[emoji23][emoji23][emoji23]

Hapana, baba mtoto alihama nchi akatuacha huku na ameshaendelea na maisha yake huko, ngoja na sisi tujitafute. Sio mchaga ni mnyakyusa.
 
Back
Top Bottom