Mume anatafutwa

Mume anatafutwa

Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;

Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.

Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja

Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Nina Masters, Vp una Tako kubwa laini? Sifa zote nnazo ila sharti uwe mweupe umepanda hewani mrefu mwenye Tako kubwa lainiiiii
 
Nimekupenda bad lucky mimi sipo SERIOUS 😂

Kila la kheri, mungu akufanyie wepesi.
 
Single mama anayetafutaa single father wakaendelezee walipoachiwaa na wenza waooo..

Single mama c mwanamke wa kuoaa kijana km unaipenda afya ya kiujumlaa .
 
Humu wengi tumeishia latatu bibie, hicho kigezo cha elimu tayari umeshafeli
 
Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;

Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.

Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja

Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Mimi nina miaka 73. Naruhusiwa pia kutuma maombi? Vigezo vyote ulivyoweka, ninavyo. Kasoro elimu tu na umri. Mimi nina elimu ya darasa la nne la Mkoloni.
 
Back
Top Bottom