stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
We km unavigezo nenda utaenda kupimiwa Oil huko huko ukipita kwenye mchujo ndio utajua ni km ngapi imetembea Ila jua ni JIONI"K" imeishatembea kilometa ngapi? Tuanzie hapo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We km unavigezo nenda utaenda kupimiwa Oil huko huko ukipita kwenye mchujo ndio utajua ni km ngapi imetembea Ila jua ni JIONI"K" imeishatembea kilometa ngapi? Tuanzie hapo!
Amesema hataki Mchagga Ila yeye haujasema ni Kabila gani? Maisha hayaMwenyezi Mungu akufanikishe haja na nia yako njema.
Muhimu sana ni kutokukata tamaa kutafuta na kuomba unachota hasa maeneo ambao hao unaowatafuta wako, mathalani kanisani unaposali....
Mungu akubariki sana...
brand inalindwaMara nyingi ni IDs mpya ndo hutafuta wenza humu!
Huwa nawaza sana kama matilaba yao ni ya dhati au la!
Acha dharau wewe. K haina makombo, anaweza akaipiga MTU akimaliza ikipigwa maji inakua mpya."K" imeishatembea kilometa ngapi? Tuanzie hapo!
Atakua anatokea Kigoma au visiwa vya Ukara.Amesema hataki Mchagga Ila yeye haujasema ni Kabila gani? Maisha haya
Kwa nguvu zote Ila nyuma ya paziabrand inalindwa
Atakua Mchagga labdaAtakua anatokea Kigoma au visiwa vya Ukara.
Vijana wa ovyo wataulizia kaburi a.k.a tutaTegemea kujibu maswali mengi ya kipuuzi kuhusu kipengele hicho 👆 lakini mimi nakutakia kila la heri katika utafutaji wako wa mwenza wa maisha 🙏🏿
Nina Masters, Vp una Tako kubwa laini? Sifa zote nnazo ila sharti uwe mweupe umepanda hewani mrefu mwenye Tako kubwa lainiiiiiHabari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.
Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja
Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Sisi tunaoishi Mororgoro hututaki?Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
Mimi nina miaka 73. Naruhusiwa pia kutuma maombi? Vigezo vyote ulivyoweka, ninavyo. Kasoro elimu tu na umri. Mimi nina elimu ya darasa la nne la Mkoloni.Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.
Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja
Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Samahani kwa usumbufu ila ningependa kujua kwanini....
Tegemea kujibu maswali mengi ya kipuuzi kuhusu kipengele hicho [emoji115] lakini mimi nakutakia kila la heri katika utafutaji wako wa mwenza wa maisha [emoji1545]
Sijui kama utapata.
Sifa zako zinakata maini.
Wanafungua Id mpya maana kwenye zile za zamani walikuwa na majivuno na ngenga nyingi
Kwanini usiolewe na baba wa mtoto wako?