Bi mariam5
Member
- Feb 9, 2024
- 83
- 98
- Thread starter
- #201
Nampenda pia kijana wetu hapo,Mungu amsaidie awe na afya njema
Ameen, Asante.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nampenda pia kijana wetu hapo,Mungu amsaidie awe na afya njema
Cheti cha kipaimara kipo, cha kuzaliwa kipo, na darasa la saba kipo pia. Hapa wanahitajika waliofika "mlimani". Mimi niliishia kwenye magazijuto!
Simu hizi na huu uzee namaanisha Mkinga sio Mjinga Ila hii simu ili auto save Mjinga ika pop up, sorry
Umejoin leo leo ili upate mume asiye mchaga hapa jf? Naona bado hujaijua jf kuwa ni mali ya wachaga [emoji23][emoji23]
Red flag[emoji599]! Hukuweza kumvumilia na kumwambia ajitume kazini?
Huna usafi wowote ungekuwa msafi usingezaa nje ya ndoaNdio mimi ni mkatoliki safi
Karibu sana Piemu yangu IPO wazi kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole wee
Punguza basi kwani lazima useme hivyo jamaa yangu?Huna usafi wowote ungekuwa msafi usingezaa nje ya ndoa
Wewe ni malaya tuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unaona sasa kumbe wewe ndiyo tatizoAlikua marioo nimemtoa nduki
Wewe una matatizo ya akili nini?Unaona sasa kumbe wewe ndiyo tatizo
Pambana na hali yako
Hakuna mwanaume mwenyewe akili timamu atakuoa kwa tabia zako labda tahira mnaoendana
Halafu unasema una degree labda zile za chupi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huna usafi wowote ungekuwa msafi usingezaa nje ya ndoa
Wewe ni malaya tuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Single mother,
Kipato kinachojitosheleza
Mtoto mmoja. Picha ya kaburi la baba yake tafadhali
SawaHabari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.
Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja
Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Kwa kigezo cha ukabila umefeli kabla ya kuanza🤣Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.
Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja
Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Wewe umejuaje km Wachagga ni wa hivyo? Ushawahi?Iwe heri kwak0 walahi umewakata wachagaa ni makupe
Mamy mbona jana ukunitag kule kwa yule mshkaji aliponiita mim majina ya ajabumshamba_hachekwi nyie nishida sana tumewachoka.
A. Washirikina sana mnamambo ya ajabu kafara ndio msiseme
B. Hampo serious
C. Wachunaji