Bi mariam5
Member
- Feb 9, 2024
- 83
- 98
- Thread starter
- #261
Ni mwanaume mjinga na mpumbavu tuu analea bao la mwanaume mwengine. Single mums ni kuapply FFF principle tuu
Sawa, wewe mwerevu kaa kando, haikuhusu hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwanaume mjinga na mpumbavu tuu analea bao la mwanaume mwengine. Single mums ni kuapply FFF principle tuu
Hilo Tako lenyewe unalo???
je utakubari kuwa na mubeba twofari tajili mwenye erimu ya ra saba mkondo wa ccm d rakin mwenye era kuriko wa digilii?
Imagine even a single mother would not allow her son to marry a single mother like her
If you’re a single mother, marry the father of your child if you can
Hapo dodoma muombe afsa utumishi apost tangazo lako kwenye group la maafsa utumisha na ded la whatsapp, ungempata hata mwalimu wa shule ya msingi huko kijijini kwenu
Tatizo uko Dodoma,
Na mimi niko huku mkoani Dar.
Hujatembea wewe.
Hebu fika Tanga uone zile zinazofukizwa udi zinavyokua tight. MTU ana watoto watano lakini K inabana balaa.
Nimepitia uzi wote lengo niangalie ni mdada gani wa zamani hajachangia huu uzi, ili nijui hii ID mpya ni ya nani. Nimeshamjua..[emoji1]
Kuna dada singo mama hapa mtaani kila nikifika kwenye goli lake yeye ni kuwakandia wachaga na kuwatusi mara hawapendi, kumbe baba mtoto ni mchaga.mkuu Mbona code nyepesi ku decipher
baba wa mtoto ni mchaga na alimuacha kwa makofi so anamchukia huyo mwamba na wachaga woteee
😂😂😂
Kama baba wa mtoto yupo hai basi wewe ni Single Maza.Sijataka kuwa specific ila imeanzia hapo
Wachaga inaonekana ni mabingwa wa kutengeneza masingle mother mtaani! Kwahiyo watoto wengi wa mitaani ni damu ya Wachaga! Kwahiyo panya Road kusaka pesa kwa mapanga/visu/bisibisi ni asili yaoKuna dada singo mama hapa mtaani kila nikifika kwenye goli lake yeye ni kuwakandia wachaga na kuwatusi mara hawapendi, kumbe baba mtoto ni mchaga.
Hapo umeishafeli! Chura ndo habari ya mjiniNakalia mbavu, sina tako.
Sitii neno hapo mkuuWachaga inaonekana ni mabingwa wa kutengeneza masingle mother mtaani! Kwahiyo watoto wengi wa mitaani ni damu ya Wachaga! Kwahiyo panya Road kusaka pesa kwa mapanga/visu/bisibisi ni asili yao
😂Nakalia mbavu, sina tako.
Hiyo inaitwa "k" ya kichina! Siku akiacha kuifukizia uvumba inaoza na kuingia funza!Hujatembea wewe.
Hebu fika Tanga uone zile zinazofukizwa udi zinavyokua tight. MTU ana watoto watano lakini K inabana balaa.
Wanawake wa Tanga wako makini Sana kwenye maeneo mawili.Hiyo inaitwa "k" ya kichina! Siku akiacha kuifukizia uvumba inaoza na kuingia funza!
"...... au wale wa kurdi wa kaskazini ambao muda wote wanamvizia mume wamuue warithi Mali"
Nilidhamiria kukuombea kwa mungu ila naona hayina haja kwa kua umeshaweka doa ktk hitaki lako.Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.
Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja
Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Hakuna mwanamume anayetaka labda wajinga wajinga utawapataMbona una uchungu moyoni? Kama huwezi acha[emoji2]