Mume anatafutwa

Mume anatafutwa

Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;

Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.

Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja

Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Kaburi la baba wa mtoto lipo wapi,na unayo certificate of death originol?
 
Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;

Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.

Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja

Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Je baba wa mtoto yuko hai? Na kama amefariki uthibitisho wa kaburi na cheti vipo?
 
Mara nyingi ni IDs mpya ndo hutafuta wenza humu!

Huwa nawaza sana kama matilaba yao ni ya dhati au la!
Labda kwa sababu Ni kitendo Cha aibu ndio maana wanaficha aibu.
Watu hujiuliza, watu watanifikiria vipi ikiwa kila idara imekamilika halafu Sina mpenzi. Mfano binti ana elimu, ana kazi, trakle lipo, ana gari, akaunti inasoma halafu Hana mpenzi hata wakumpa salamu Hana. Huyo jamii humuona Kama mchawi au ana UTI sugu.
 
Kesho 14/2 ndio wasio na wenza wataona umuhimu wa kua na mwenza, acha ule ujinga wa libabu na kabinti au kibenshit na jimama linalotia aibu.
Namaanisha wapenzi ambao hawajapishana Sana umri.
 
Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;

Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.

Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja

Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Duuh vigezo na masharti kuzingatiwa .ila mm napita tu dada Shemeji .
 
Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;

Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA
emoji2.png

Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.

Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja

Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Una vigezo vingi sana, Naamini ukifika 35+ utapunguza masharti.

Lakini Nina sifa zote hapo, Nipo Nkuhungu upo tayari kuwa Bi.Mdogo.
 
Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;

Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.

Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja

Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Kaka zetu wa kichaga wamekutenda nini kibaya kiasi hicho?? 😂😂😂
 
Kila la heri,jobless naona umetu-exclude pamoja na hao wachaga.
 
Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;

Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.

Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja

Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Wifi kwanini umewabagua kaka zangu
 
Mara nyingi ni IDs mpya ndo hutafuta wenza humu!

Huwa nawaza sana kama matilaba yao ni ya dhati au la!
Ni swali zuri unaweza kuta ni Bi Marium aliyekuwa anajiuza Kinondoni sasa kahamia Dodoma. Changudoa akihama mkoa tu anakuwa mpya kwa wenyeji wasiomfahamu.
 
wasimbe kazini, umesubiri mileage iende ende kidogo ndio unaamka.
 
Back
Top Bottom