Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Nampango wa kufungua id mpya nikutongozeMara nyingi ni IDs mpya ndo hutafuta wenza humu!
Huwa nawaza sana kama matilaba yao ni ya dhati au la!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nampango wa kufungua id mpya nikutongozeMara nyingi ni IDs mpya ndo hutafuta wenza humu!
Huwa nawaza sana kama matilaba yao ni ya dhati au la!
Kaburi la baba wa mtoto lipo wapi,na unayo certificate of death originol?Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.
Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja
Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Je baba wa mtoto yuko hai? Na kama amefariki uthibitisho wa kaburi na cheti vipo?Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.
Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja
Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Labda kwa sababu Ni kitendo Cha aibu ndio maana wanaficha aibu.Mara nyingi ni IDs mpya ndo hutafuta wenza humu!
Huwa nawaza sana kama matilaba yao ni ya dhati au la!
Duuh vigezo na masharti kuzingatiwa .ila mm napita tu dada Shemeji .Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.
Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja
Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Wanetu was man u mna mbwembwe 😆😂Umeshachafua score board uwanja umeinama huo achana na habari za kuweka masharti maana hata sisi tuna masharti yetu vilevile na umeshayavunja
Una vigezo vingi sana, Naamini ukifika 35+ utapunguza masharti.Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA![]()
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.
Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja
Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Kaka zetu wa kichaga wamekutenda nini kibaya kiasi hicho?? 😂😂😂Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.
Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja
Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Kuwa uyaone?ASIWE MCHAGA![]()
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Wifi kwanini umewabagua kaka zanguHabari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.
Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja
Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Ni swali zuri unaweza kuta ni Bi Marium aliyekuwa anajiuza Kinondoni sasa kahamia Dodoma. Changudoa akihama mkoa tu anakuwa mpya kwa wenyeji wasiomfahamu.Mara nyingi ni IDs mpya ndo hutafuta wenza humu!
Huwa nawaza sana kama matilaba yao ni ya dhati au la!
Una mtoto vigezo kama vya under 20Hamuhitajiki kwakweli
Ndio baba ake mtoto.Kaka zetu wa kichaga wamekutenda nini kibaya kiasi hicho?? 😂😂😂
Mkuu lakini sehemu husika si ipo au?Kufirwa
mfupi pia mweusi tii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Njoo tuyajenge dear vigezo vyote ninavyo ila ni kibonge, mfupi na mweusi tiiii.