Mume aua hausigeli kwa kipigo akimlazimisha amwambie mchepuko wa mke wake ni nani

Apewe adhabu kali,iwe fundisho kwa wanaume wenyekufatilia michepuko ya wake zao.
Ukitaka kufatilia nyendo za mwanamke hakuna ndoa!!

Wanaume tuendelee kutunza wake zetu huku tukiwapa mahitaji yao na ziada wazihifadhi huku tukipiga mshine vizuri.
 
duh wamnyonge tu Sasa bint huyo atajuaje mchepuko wa boss jamaa fwala kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…