Mume aua hausigeli kwa kipigo akimlazimisha amwambie mchepuko wa mke wake ni nani

Mume aua hausigeli kwa kipigo akimlazimisha amwambie mchepuko wa mke wake ni nani

Yaani yeye ashindwe kumwinda mwizi wa mke wake aje aue mtu asiyehusika,Anyongwe haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna sababu za kumwinda mwizi wa mke wako. Ukisha thibitisha mkeo anatoka nje, usitake kupata matatizo, mfungulie mlango achukue kila kilicho chake. Kampata anaeona ni bora kuliko wewe, kumg'ang'ania matokeo ufe au uuwe. Usilazimishe kupendwa, utaishi na nyoka ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huyo kenge pindi anapiga mtoto wa watu hadi anaua alikuwa anawaza wapi.

Najaribu tu kuimagine maumivu aliyowaachia wazazi wa huyo mtoto. Mambo mengine yanauma basi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto kauwawa watu wanatetea mengine kabisa
Pole yao wazazi wa mtoto


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Binti wa kazi na kujua mchepuko wa boss wake wapi na wapi....

Mwakalukwa, hivi ile operesheni yako ya kukamata watu wenye dalili za kutaka kujinyonga iliisha kweliii.. ! Make mpaka leo sijawahi kuja Tabora baada ya kuhisi baadhi ya dalili ulizozitaja ninazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Baadhi ya house girls huwa wanaijua michepuko ya mabosi wao,tena wanapangwa vizuri ili wasitoe Siri,wengine huongezewa posho kidogo kwa kazi ya utunzaji wa siri. Nimewahi kulishuhudia hili sehemu mbili tofauti. Wadada hawa wana tabu kweli kweli,asipo mfichia mama siri basi atamfichia baba ambaye anatoka naye. Duh! Nadhani hiyo ndiyo extra duty yao, japokuwa mwisho wa siku huwagharimu
 
Hilo swala la kusingizia nadharia ya mapenzi ambayo haijawahi kudhibitishwa sio sawa kabisa, huo ni ujinga uliochanganywa na ukatili. haya mavitu yanakera sana.

Rip huyo mtoto.
 
Badala ya kupambana na mgoni aliemwibia mkewe hasira kaenda kummalizia binti wa kazi ambaye ana hatia Sheriia ichukue mkondo wake R.I.P. binti
 
Kemea pia wa tundu lissu,azory gwanda,na wengine wengi waliodhuriwa na kuuwawa na ccm
Usiwasahau na wale wa MKIRU waliodhulumiwa na magaidi wasiojulikana.

We all know that we gonna die, but everybody wish at least to accomplish his/ her dream.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila Tanga jamani ni kuzuri. Mpaka mtu wa Tanga ampige mkewe ujue karogwa
 
Back
Top Bottom