Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Polisi wanamsaka mwanamume mmoja kwa madai ya kuziba sehemu za siri za mke wake na gundi kwa sababu ya kutomuamini.
Kisa hicho cha kushangaza kilitokea katika Kaunti ya Tharaka Nithi huku mwathiriwa akiwasimulia polisi namna alilazimishwa na mume wake kuvua nguo kabla ya kuanza kumhoji.
Mshukiwa huyo alimwagia pili pili, chumvi na gundi kwenye sehemu zake za siri.
Kulingana na mama huyo, mume wake aliwasili nyumbani na kutaka kujua ni wanaume wangapi ambao alilala nao wakati hakuwepo.
Katika taarifa ya polisi, mshukiwa alimuamrisha mwathiriwa kuondoka katika nyumba yao na akumpeleka katika mto uliokuwa karibu na kumuagiza kuvua nguo.
Mama huyo pia alifichua kwamba mume wake aliziba mdomo wake na masikio akitumia gundi hiyo kabla ya kutoweka. Picha: Nairobi News.
Mama huyo alifuata amri hiyo baada ya mume wake kumchapa huku akitishia kumuua kwa kumdunga kisu alichokuwa amekibeba.
“Alikataa na alianza kumchapa huku akitishia kumuua na kisu alichokuwa ameshika. Hatimaye alivua nguo zake na mshukiwa huyo alimumwagia pili pili, chumvi na gundi kwenye sehemu zake za siri huku akitumia kisu kusukuma ndani," ilisoma taarifa ya polisi.
Mama huyo pia alifichua kwamba mume wake aliziba mdomo wake na masikio akitumia gundi hiyo kabla ya kutoweka.
Aidha, polisi hawakufichua namna mama huyo aliokolewa lakini walisema kwa sasa amelazwa hospitalini akiwa katika hali mbaya.
Source: Tuko
Kisa hicho cha kushangaza kilitokea katika Kaunti ya Tharaka Nithi huku mwathiriwa akiwasimulia polisi namna alilazimishwa na mume wake kuvua nguo kabla ya kuanza kumhoji.
Mshukiwa huyo alimwagia pili pili, chumvi na gundi kwenye sehemu zake za siri.
Kulingana na mama huyo, mume wake aliwasili nyumbani na kutaka kujua ni wanaume wangapi ambao alilala nao wakati hakuwepo.
Katika taarifa ya polisi, mshukiwa alimuamrisha mwathiriwa kuondoka katika nyumba yao na akumpeleka katika mto uliokuwa karibu na kumuagiza kuvua nguo.
Mama huyo pia alifichua kwamba mume wake aliziba mdomo wake na masikio akitumia gundi hiyo kabla ya kutoweka. Picha: Nairobi News.
Mama huyo alifuata amri hiyo baada ya mume wake kumchapa huku akitishia kumuua kwa kumdunga kisu alichokuwa amekibeba.
“Alikataa na alianza kumchapa huku akitishia kumuua na kisu alichokuwa ameshika. Hatimaye alivua nguo zake na mshukiwa huyo alimumwagia pili pili, chumvi na gundi kwenye sehemu zake za siri huku akitumia kisu kusukuma ndani," ilisoma taarifa ya polisi.
Mama huyo pia alifichua kwamba mume wake aliziba mdomo wake na masikio akitumia gundi hiyo kabla ya kutoweka.
Aidha, polisi hawakufichua namna mama huyo aliokolewa lakini walisema kwa sasa amelazwa hospitalini akiwa katika hali mbaya.
Source: Tuko