Mume aziba nyeti za mkewe kwa gundi akimlazimisha amwambie idadi ya wanaume aliolala nao yeye alipokuwa safarini

Mume aziba nyeti za mkewe kwa gundi akimlazimisha amwambie idadi ya wanaume aliolala nao yeye alipokuwa safarini

Cha kushangaza huko ndiko wanakotoka wale wazee wa human rights(mabeberu)
 
Inasikitisha sana, kama mwanamke hajatulia ni kheri kumuacha tu kuliko kumuharibu hivyo...
 
FB_IMG_16220549002247969.jpg


Hebu picha ya hao wapenzi
 
Wakati wa kukojoa atakojoa vipi? Huyo lazima akimbizwe hospitalini la sivyo atapata madhara ya kiafya. Figo zake zitaathirika shimo isipozibuliwa.
Mkuu unajua mkojo wa mwanamke unapotokea?
 
Back
Top Bottom