We badala ya kuangalia maisha yako unafuatilia na ku judge ya watu.
Wachungaji wengi tu wanakula kondoo kwa kificho, wachafu tu, hata kama anaimba injili ni mtu kama sisi, kukataa kuitwa mchungaji kuna ubaya gani? Kukataa ndoa we inakuuma nini?
Anayekuwa ndoani ni yeye anafahamu changamoto anazokutana nazo, inawezekana hampendi huyo mume, ana kosa?
Nyie ndio wale wazazi wajinga mnalazimisha watoto wa kike kuolewa na mtu fulani kisa mihemko ya kidini na tamaa.
Hata akiamua kuimba bongo flavor kuna shida? Si maisha yake kachagua havunji sheria...