100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Inasikitisha sana mkuu.Hata mimi nawashangaa sana mkuu, ingekuwa ni mtumishi wa kiume ndio kafanya haya ungesikia watumishi nao ni binadamu hawajakamilika, ila kwa sababu ni mtumishi wa kike wanatarajia awe malaika na mkamilifu siku zote
Hao wenyewe wanaomsema unakuta ndoa zimewashinda, watoto nje kibao na michepuko .