100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Watu wa ajabu sanaChristina Shusho sasa hivi ndio anaonekana mwanamke mbaya kuliko wote kwa tabia yake, kila kona Christina Shusho
Yaan naona watu wanapata sehemu za kuondolea stress zao!!!!Christina Shusho sasa hivi ndio anaonekana mwanamke mbaya kuliko wote kwa tabia yake, kila kona Christina Shusho
Lakini,katiba ya jamuhuri ya muungano ya Tanzania si inawaruhusu kujieleza kwa uhuru bila kuvunja sheria?Mambo mengine ni ujinga.
Inasikitisha kuona bado kuna wa Tanzania wapuuzi kiasi hiki.
Kwamba mtu akiimba injili aitwe mchungaji.
What's so special about uchungaji wakati wengine ni wazinzi na walevi wakubwa?
Mimi naishi kwa shemeji yangu ni bora hata ningalikuwa nimeajiriwa.
Mbona nawee unawachukia na kuwasakama mashoga, je si ni maisha yao binafsi? Wee inakuuma nn?We badala ya kuangalia maisha yako unafuatilia na ku judge ya watu.
Wachungaji wengi tu wanakula kondoo kwa kificho, wachafu tu, hata kama anaimba injili ni mtu kama sisi, kukataa kuitwa mchungaji kuna ubaya gani? Kukataa ndoa we inakuuma nini?
Anayekuwa ndoani ni yeye anafahamu changamoto anazokutana nazo, inawezekana hampendi huyo mume, ana kosa?
Nyie ndio wale wazazi wajinga mnalazimisha watoto wa kike kuolewa na mtu fulani kisa mihemko ya kidini na tamaa.
Hata akiamua kuimba bongo flavor kuna shida? Si maisha yake kachagua havunji sheria...
Wazazi wa namna hio ni washenzi na wauaji.Naam kuna hili jambo la kulazimishiwa ambalo wazee huwa hawaliangalii, na ndoa nyingi za hivi huwa hazidumu
Nimesema kama havunji sheria, ukiwa shoga tayari unavunja sheria.Mbona nawee unawachukia na kuwasakama mashoga, je si ni maisha yao binafsi? Wee inakuuma nn?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli ogopa sana teknolojia..... Teknolojia inaishi sana-anyway nisijikumbushe machungu Mimi 😔😔😔Kukaa kimya ingemfaa zaidi ikiwa lolote asilolitarajia litamtokea hasa kwa siku za usoni. Ogopa sana teknolojia. Kila jambo liwe kwa kiasi
Kwa hiyo Leo baada ya kuwa na nywee nyeupe ndio amegudua aliolewa kwa kulazimishwa? Miaka 19 alikuwa na udoho gani? Hii ni tabia ya wanawake wa leo anapohisi ana vi element vya mafanikio,waimbaji wa injili wanaojiona Wana mafanikio na wanaotumikia ndoa zao bila shida labda no uwiano wa moja kwa elfu moja! Hata Kama ingekuwa hivyo hapaswi kwenda kwenye media na kuongea hayo Mambo sana sana anatafuta wimbi la ngono uzembe na kuiporomosha hadhi yake na huduma anayofanyaNlichogundua ni kwamba kuna ukweli flani kwamba ile ndoa yao ilikuwa ya kulazimishwa. Umri na kila kitu ni tofauti. Makanisa mengi ya kipentekoste wana tabia ya kuwaozesha mabinti wanaume wasiowahitaji, nao hukubali sababu wanawatii watumishi
Alilazimishwa kuolewa, akaishi ndoani kwa miaka zaidi ya 20...hata yeye hana akili.Nlichogundua ni kwamba kuna ukweli flani kwamba ile ndoa yao ilikuwa ya kulazimishwa. Umri na kila kitu ni tofauti. Makanisa mengi ya kipentekoste wana tabia ya kuwaozesha mabinti wanaume wasiowahitaji, nao hukubali sababu wanawatii watumishi
Hakulazimishwa huyo kwao seems walikuwa na njaa kali sana alipotokea huyo anayeitwa Mzee Shusho akionekana ana ahueni ya maisha (simjui anafananaje sijamuona kuthibitisha uzee wake) akatamani kuishi maisha fulani standard (ukichukulia alijiona mrembo sana) so akataka aishi maisha kuendana na urembo wake,kwa maneno mengine aliolewa kwa sababu ya njaa na ku-maintain standard nothing else kusema alilazimishwa na Kanisa kuolewa kwani humo Kanisani hakukuwa na vijana rika lake wakapatanishwa wakaoana?Nlichogundua ni kwamba kuna ukweli flani kwamba ile ndoa yao ilikuwa ya kulazimishwa. Umri na kila kitu ni tofauti. Makanisa mengi ya kipentekoste wana tabia ya kuwaozesha mabinti wanaume wasiowahitaji, nao hukubali sababu wanawatii watumishi
2021 Mke wa aliyekuwa Tajiri wa kwanza duniani Jeff Bezzos naye hakupendwa na Mkewe hadi kutalikiwa baada ya miaka 32 ya ndoa?Ndoa bhana….inabidi mpendane ndiyo muamue kuishi….
Hata mimi nawashangaa sana mkuu, ingekuwa ni mtumishi wa kiume ndio kafanya haya ungesikia watumishi nao ni binadamu hawajakamilika, ila kwa sababu ni mtumishi wa kike wanatarajia awe malaika na mkamilifu siku zoteWe badala ya kuangalia maisha yako unafuatilia na ku judge ya watu.
Wachungaji wengi tu wanakula kondoo kwa kificho, wachafu tu, hata kama anaimba injili ni mtu kama sisi, kukataa kuitwa mchungaji kuna ubaya gani? Kukataa ndoa we inakuuma nini?
Anayekuwa ndoani ni yeye anafahamu changamoto anazokutana nazo, inawezekana hampendi huyo mume, ana kosa?
Nyie ndio wale wazazi wajinga mnalazimisha watoto wa kike kuolewa na mtu fulani kisa mihemko ya kidini na tamaa.
Hata akiamua kuimba bongo flavor kuna shida? Si maisha yake kachagua havunji sheria...
Ke mtalikiwa umejibu kwa uchungu haswa, shushia maji ya kunywa taratiiibu BP itulie.We badala ya kuangalia maisha yako unafuatilia na ku judge ya watu.
Wachungaji wengi tu wanakula kondoo kwa kificho, wachafu tu, hata kama anaimba injili ni mtu kama sisi, kukataa kuitwa mchungaji kuna ubaya gani? Kukataa ndoa we inakuuma nini?
Anayekuwa ndoani ni yeye anafahamu changamoto anazokutana nazo, inawezekana hampendi huyo mume, ana kosa?
Nyie ndio wale wazazi wajinga mnalazimisha watoto wa kike kuolewa na mtu fulani kisa mihemko ya kidini na tamaa.
Hata akiamua kuimba bongo flavor kuna shida? Si maisha yake kachagua havunji sheria...
Yeah inawezekana mkuu2021 Mke wa aliyekuwa Tajiri wa kwanza duniani Jeff Bezzos naye hakupendwa na Mkewe hadi kutalikiwa baada ya miaka 32 ya ndoa?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hilo ndo kosa lakeKwa hiyo Leo baada ya kuwa na nywee nyeupe ndio amegudua aliolewa kwa kulazimishwa? Miaka 19 alikuwa na udoho gani? Hii ni tabia ya wanawake wa leo anapohisi ana vi element vya mafanikio,waimbaji wa injili wanaojiona Wana mafanikio na wanaotumikia ndoa zao bila shida labda no uwiano wa moja kwa elfu moja! Hata Kama ingekuwa hivyo hapaswi kwenda kwenye media na kuongea hayo Mambo sana sana anatafuta wimbi la ngono uzembe na kuiporomosha hadhi yake na huduma anayofanya