Mume bora mwenye hekima na busara ni huyu hapa

Lakini,katiba ya jamuhuri ya muungano ya Tanzania si inawaruhusu kujieleza kwa uhuru bila kuvunja sheria?
 
Ashakuwa Malaya nafsi inamsuta ndo mana anaropoka ropoka
 
Mbona nawee unawachukia na kuwasakama mashoga, je si ni maisha yao binafsi? Wee inakuuma nn?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona nawee unawachukia na kuwasakama mashoga, je si ni maisha yao binafsi? Wee inakuuma nn?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimesema kama havunji sheria, ukiwa shoga tayari unavunja sheria.

Case closed.
 
Kukaa kimya ingemfaa zaidi ikiwa lolote asilolitarajia litamtokea hasa kwa siku za usoni. Ogopa sana teknolojia. Kila jambo liwe kwa kiasi
Kweli ogopa sana teknolojia..... Teknolojia inaishi sana-anyway nisijikumbushe machungu Mimi 😔😔😔
 
Ingekuwa upande wa pili ungesikia wanahukumu watu.
 
Nlichogundua ni kwamba kuna ukweli flani kwamba ile ndoa yao ilikuwa ya kulazimishwa. Umri na kila kitu ni tofauti. Makanisa mengi ya kipentekoste wana tabia ya kuwaozesha mabinti wanaume wasiowahitaji, nao hukubali sababu wanawatii watumishi
Kwa hiyo Leo baada ya kuwa na nywee nyeupe ndio amegudua aliolewa kwa kulazimishwa? Miaka 19 alikuwa na udoho gani? Hii ni tabia ya wanawake wa leo anapohisi ana vi element vya mafanikio,waimbaji wa injili wanaojiona Wana mafanikio na wanaotumikia ndoa zao bila shida labda no uwiano wa moja kwa elfu moja! Hata Kama ingekuwa hivyo hapaswi kwenda kwenye media na kuongea hayo Mambo sana sana anatafuta wimbi la ngono uzembe na kuiporomosha hadhi yake na huduma anayofanya
 
Nlichogundua ni kwamba kuna ukweli flani kwamba ile ndoa yao ilikuwa ya kulazimishwa. Umri na kila kitu ni tofauti. Makanisa mengi ya kipentekoste wana tabia ya kuwaozesha mabinti wanaume wasiowahitaji, nao hukubali sababu wanawatii watumishi
Alilazimishwa kuolewa, akaishi ndoani kwa miaka zaidi ya 20...hata yeye hana akili.
 
Nlichogundua ni kwamba kuna ukweli flani kwamba ile ndoa yao ilikuwa ya kulazimishwa. Umri na kila kitu ni tofauti. Makanisa mengi ya kipentekoste wana tabia ya kuwaozesha mabinti wanaume wasiowahitaji, nao hukubali sababu wanawatii watumishi
Hakulazimishwa huyo kwao seems walikuwa na njaa kali sana alipotokea huyo anayeitwa Mzee Shusho akionekana ana ahueni ya maisha (simjui anafananaje sijamuona kuthibitisha uzee wake) akatamani kuishi maisha fulani standard (ukichukulia alijiona mrembo sana) so akataka aishi maisha kuendana na urembo wake,kwa maneno mengine aliolewa kwa sababu ya njaa na ku-maintain standard nothing else kusema alilazimishwa na Kanisa kuolewa kwani humo Kanisani hakukuwa na vijana rika lake wakapatanishwa wakaoana?

Tukumbuke kila mmoja wetu ana kipaji chake sasa cha kwake kilipomtoa akaanza kujiona anamudu yale aliyoakipewa na mumewe na mwanamke mwenye mafanikio kwa lolote ni sawa na mbwa jike la msimu haoni shida kufanya uchafu wowote ndicho unachokiona leo,kama ulishawahi kuona mbwa jike amewapangisha foleni mbwa dume zaidi ya kumi chini ya mti wakimwingilia kwa zamu mfano wake ni huyo shushu
 
Ndoa bhana….inabidi mpendane ndiyo muamue kuishi….
2021 Mke wa aliyekuwa Tajiri wa kwanza duniani Jeff Bezzos naye hakupendwa na Mkewe hadi kutalikiwa baada ya miaka 32 ya ndoa?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Hata mimi nawashangaa sana mkuu, ingekuwa ni mtumishi wa kiume ndio kafanya haya ungesikia watumishi nao ni binadamu hawajakamilika, ila kwa sababu ni mtumishi wa kike wanatarajia awe malaika na mkamilifu siku zote
 
Ke mtalikiwa umejibu kwa uchungu haswa, shushia maji ya kunywa taratiiibu BP itulie.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Hilo ndo kosa lake
 
Mimi nashangaa Sana watu wanahamaki au wamepigwa na butwaaa ...
Anyway ukiona umeshtushwa ujue ww unaweza kudanganyika mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…