mume hatoi unyumba

Kwenye miti mingi hakuna wajenzi
 
Jamani miezi yote hiyo kidude cha dada wa watu c kitaziba jamani?
 
Kwa miezi mitano au sita ni mingi sana, ushauri wa bure ni kuwa hapo hakuna mapezi tena, hivyo, mama naye aangalie uwezekano wa kuchepuka kidogo.
 
mi kila siku huwa nasema hii mambo ya ushosti balaa sana, wanasimuliana hadi mikunjo, watu wanabisha.... ona sasa
mana ya shost ndio iyo kila kitu unahadisiwa hata visivofaa pia....
 

Mkuu Mbu naikubali hiyo sana na hata mwaka nitaikubali achilia mbali miezi mitano lakini hii hadithi ya Aminata haiko hivyo, hebu msome tena. Utagundua.
1) Hakuna kiashiria cha ugomvi kwa mwanamme na hivyo anaonesha kwamba hana ugomvi na mkewe lakini kuna kitu anaficha tu na hichi kitu ni very serious kiasi kwamba kinaathiri sex life yake, kama yuko serious kamchoka mwenza wake angeanzisha timbwili la ajabu ajabu ndani na sio kugomea unyumba, adhabu ambayo ni ya mwisho kwa mwanamme rijali kuitoa popote pale dunia hii (nisome vizuri hapa mkuu Mbu).

2)Angalia excuses zake, hazioneshi kukera zaidi ya kuwa childish na kutaka mwanamke aridhike kubakia (kila nikimsoma ni kama anamtaka huyu mwanamke abakie kwa kumfichia aibu fulani hivi)

Saying all that naweza nikawa totally wrong lakini for sure nabakia na msimamo wangu kwamba huyu jamaa hana kimada wala nini nje, kuna kitu anaficha.
 

Heri mimi sijasema...imekaa kama mtu anatafuta justification ya kutekeleza kile anachokifikiria vile ila kwa kuleta story kwamba anaonewa sanaaaa
 

hehehe hapo red hapo, naomba nikumbushie msimamo wangu nilioutoa huko mwanzo wa hii sredi.

 

Mzee hii inakuwaje? wanalala namna gani hawa mabwabwa?
 
Kama haliwi na mumewe akaliwe nje au atafute shoga wa kusagana nae. Simpo!
 
Heri mimi sijasema...imekaa kama mtu anatafuta justification ya kutekeleza kile anachokifikiria vile ila kwa kuleta story kwamba anaonewa sanaaaa



hahahaha..... Kheri hujasema eeeh? lol
 

Ubarikiwe sana mstaafu. Umenena yalio mema
 
hahahaha..... Kheri hujasema eeeh? lol

Kama kweli ni mume wake why has she allowed to be out of control for all those months? Na yeye huyo bibiye kile chakula cha usiku anakula wapi? Au ndio zile habari za kale kwamba kina mama hayo mambo hayawahusu!
 
Kama kweli ni mume wake why has she allowed to be out of control for all those months? Na yeye huyo bibiye kile chakula cha usiku anakula wapi? Au ndio zile habari za kale kwamba kina mama hayo mambo hayawahusu!

Ndahani mwanamke anaweza vumilia kwa mda mrefu... For amini usiamini kuna baadhi ya wanawake wana waume na the means of them reaching the climax ni self satisfactory... anaenda na mzee kama kawa, then anatega akiwa peke yake anamalizia... Ndio maana ni rahisi kwa mwanamke kukaa mda mrefu kidogo... Ila naamini kua kwa wanaume hata kama anacheza saana na sabuni hawezi fikia hisia ya kuridhisha ukifananisha na akikutana na the thing itself.... Hivo upande wa the woman I can understand... The story is kind of missing something.... Ila hata mimi nikikaa tu One month na my man has not done anything in those lines.... Oooh I would be really worried!! Hatutafika miezi 6 bila kulalama...... labda kama sipo nae pamoja hapo hata mwaka it is OK.
 
shosti yuko wapi siku hizi, hii mada inamfaa sana

pal

genye ni soo, unaweza kuona dakika kama karne

Realy! I love when women talk free of their sexual life! Na wapenzi wenu muwe mnawaambia, sasa limwanaume linakaa miezi mitano tatu bila? Khaaa! We unajimaliza kwa vidole tu, ukienda kuoga! Cha kufia nini, tafuta kibajaj kikupaishe mpaka kileleni. Ze dokta wacha aendelee na mgomo cha muhimu anawasomesha! Ila nimegundua kumbe wanaume ni mitaji kwa hawa wasomi wadada! Sema wakishapata elimu utaona anasema im very strong, i didnt get support from my husband, nyamafu mkubwa, na ufe ukiwa umesimama, kenge mkubwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…