mume hatoi unyumba

mume hatoi unyumba

Kwa uzoefu wangu,

Wanaume wengi wanalalamika kwamba mke mmoja hatoshi.....Sasa huyo anayekaa mwezi mzima halafu anaruka mara moja, basi ni mgonjwa.

Ila pia wanawake wanatakiwa kujua kuwa tiba ya kwanza katika matatizo kama hayo anayo mama mwenye nyumba...Ni hatari kuwaachia wanawake wa nje wamtafutie Mr/baba watoto dawa/tiba!!!


DC hao wanaume wanao lalama kua mke mmoja hatoshi ndio wale wale wa Kijiweni. Wapo kweli wanaume ambao mwanamke mmoja hatoshi, ila ulimwingu wa sasa idadi ya wanaume ambao ufanisi wao upo chini ya viwango ni wengi kuliko wale ambao wapo within viwango..... Wanawke weeengi kilio chao ni kua wanaume wao hawawaridhishi.... Sijui ni mavyakula or whatever.... ila ukweli unabaki wanaume ambao kweli hawawezi toshelezwa na mwanamke mmoja ni wachache saana, wengi ni tamaa tu....
 
Ila huyu Aminata 9 ni nani? mbona kaingia mitini, ningetaka nimPM namba ya shosti niangalie namna ya kumsaidia

ahahah Kaizer unataka kumpa ushauri gani tena ??
Napata picha utakuwa kama ifuatavyo
Wewe Bibie tatizo lako nini ..unasomeshwa ,,pesa ya kutumia ipo .hebu .maliza elimu yako kwanza mama .yeye akiona cha nini sio twajiuliza tutakipata lini hiki kifaa.
Haya mambo mengine nione mie kwa muda wako nitakusaidia kupunguza hivyo vidudu vidogo vidogo vinavyonyevua
Punguza mawazo bibie haya ni maisha tu..
I am here baby anytime you need me i am available hehe just for you dah only for you mmmmh ...
 
ahahah Kaizer unataka kumpa ushauri gani tena ??
Napata picha utakuwa kama ifuatavyo
Wewe Bibie tatizo lako nini ..unasomeshwa ,,pesa ya kutumia ipo .hebu .maliza elimu yako kwanza mama .yeye akiona cha nini sio twajiuliza tutakipata lini hiki kifaa.
Haya mambo mengine nione mie kwa muda wako nitakusaidia kupunguza hivyo vidudu vidogo vidogo vinavyonyevua
Punguza mawazo bibie haya ni maisha tu..
I am here baby anytime you need me i am available hehe just for you dah only for you mmmmh ...


Yaani wewe upo akinili kwangu kabisaaaaaa..... Haya ndio yalipita akilini kwangu, bahati mbaya hadi yalivuka zaidi ya hapo.... lol.... Bora umemlipua! Naamini kwa mtindo huu anaweza tafuta pengine :redface:
 
DC hao wanaume wanao lalama kua mke mmoja hatoshi ndio wale wale wa Kijiweni. Wapo kweli wanaume ambao mwanamke mmoja hatoshi, ila ulimwingu wa sasa idadi ya wanaume ambao ufanisi wao upo chini ya viwango ni wengi kuliko wale ambao wapo within viwango..... Wanawke weeengi kilio chao ni kua wanaume wao hawawaridhishi.... Sijui ni mavyakula or whatever.... ila ukweli unabaki wanaume ambao kweli hawawezi toshelezwa na mwanamke mmoja ni wachache saana, wengi ni tamaa tu....


Hahahahaha,

ADI hapo sasa umenitisha...hivi kweli unaweza kuwasemea wanaume??

I have never attempted kuhisi kuwa nawafahamu wanawake ukizingatia hadi sasa bado nahangaika kumfahamu vizuri Bibi DC!!

Wasiotoshelezwa na mke mmoja ni wengi sana....hata mie nilikuwa mmoja wao enzi zile!!

Babu DC!!
 
Hahahahaha,

ADI hapo sasa umenitisha...hivi kweli unaweza kuwasemea wanaume??

I have never attempted kuhisi kuwa nawafahamu wanawake ukizingatia hadi sasa bado nahangaika kumfahamu vizuri Bibi DC!!

Wasiotoshelezwa na mke mmoja ni wengi sana....hata mie nilikuwa mmoja wao enzi zile!!

Babu DC!!



Jamani DC Usivunje mbavu zako....lol...

Kwani hao wanaume wana lala na nani?? Si sisi wake zao..... Kama vile ambavo wanaume huongea vijiweni hawatoshelezwi na mwanamke mmoja, ndio hivo hivo na wanawake wakikutana vijiweni hukaa na kuongea... Ooooh! And believe me kaka.... more than 50% halalama wenza wao ni wabovu katika hio sector, na hushia kuwauliza wenzie nifanyeje jamani ili mume wangu aweze niridhisha??

Then the same woman akiwa na mumew sababu most ni really good actresses wanaishia kuonesha kwa wapenzi wao kama wako ulimwengu wa 7 kwa starehe... Na mwanaume akitoka hapo anaridhika kua kamridhisha mkewe.... Kumbe mkewe kisha msoma hata ajitahidi namna gani mwanaume wake achoka haraka.... Sasa DC as a Woman alabda umeumbwa maandalizi mazuri na hadi you cumm ni maybe dakika 40.... Mume uwezo wake max ni dakika 14.... What do you do? Utamwambia wewe huwezi?
 
Hapa kuna tatizo kubwa saana Aminata.... Huyo Mke kwa upande wangu namuona kana kwamba ni very SELFISH.... (Sorry dear kama nitakukwaza for she is your friend...) Sababu za mimi kufikiria yupo selfish ni as follows....

Kwanza... Hio story the way rafiki yako kakusimulia (taking it for granted kua umeandika kama alivokusimulia); Ni kana kwamba anataka awe sympathised kua yeye ndie anae onewa na mwanaume ndie wa kulaumiwa na afikiriwe kua ana mienendo mingine hasa huko nje hasa ya wanawake wengine.... Labda nakosea ila mimi ninavoelewa... Kwa mwanaume ambae ana hawara nje kwa miezi sita akujia usiku na mara asubuhi; kama kweli hilo ndio linalomuweka huko nje angeleta jeuri kwa mkewe kwa kutojali kama mkewe atajua kua ana mwanamke ama lah! IMO kama for 6 months ndio hivo hivo na mumewe anakuja lalama ugumu wa kazi nyumbani.... yawezekana ni kweli bana.... After all ma Doctor waligoma, na wale ambao walikua na roho ngumu ya kutokubali kuacha wito wao wa kujali wagonjwa kwa kweli wameelemewa.

Pili... Inaonesha wazi kabisa kua hampendi mume wake.... For jinsi maelezo yalivo ni wazi mume hajapunguza upendo na huduma ndani ya nyumba ndio kwanza kakazana na yupo reliable na responsible sio tu kwa familia yake (mke na mtoto) hadi ndugu wa mke.... (Kama upendo/mapenzi yangepungua inaonesha wazi huyo rafikiyo angegusia na hizo pande) Lakini kuto gusia kwake ina maana hata hajatafakari hili la Upendo na Mapenzi.... ila tu kazingatia tu tendo la 6/6 (nayo sio sababu hajapata) ila kuonesha tu kua anaonewa. Ukizingatia ni wazi anaishi na mumewe sababu ya huduma anayopata hawezi pata pengine.

Kwangu hio inanifanya nione anaibomoa nyumba/ndoa yake kwa mikono yake miwili.....

HOWEVER


  • Kuna baadhi ya kazi ambazo wanaume hufanya na kuwachosha mno.... To the extent hadi ile wazo la kufikiria kwenda kubanjuka (na twajua nguvu watumiazo pale) inamfanya ashindwe kabisa kufanya tendo. Hata hivo miezi sita ni mingi, angeweza hata jitahidi atake lakini akamiliza ndani ya sekunde.
  • Yawezekana mumewe ana psychological problems ambazo zimeathiri hadi nguvu zake za kiume.... Kumwambiea mke wake labda anaona aibu na kuona kama anaji emasculate; hivo kaongeza bidii na mda wa kufanya kazi ili tu kuepuka kua mda mrefu na mkewe kitandani.
  • Na kweli yawezekana ana mwanamke..... Ila jinsi story ilivo kaa kaa.... IMO Siamini kua ndio kigezo za kushindwa timiza tendo.

AU kama Lawyer Kloro alivo ongea......lol.... It may be true bana maana maadili haya! Only God knows.


kilasiku nakuelewa lakinleonimeshindwa kukuelewa.
anaibomoavipnyumba yake mwenyewe?
kwa kutopewa unyumba?
kwa mume kulalanje?

anaonekana kuappreciate huduma za mumewe the only thng ni akuna dudu sasa mpira ukirushia mwanamke et anaharibu nyumba yake apo sjapaelewa au labda uelewawangu mdg au uenda iam leftist n ur light....:cool2:
 
Jamani DC Usivunje mbavu zako....lol...

Kwani hao wanaume wana lala na nani?? Si sisi wake zao..... Kama vile ambavo wanaume huongea vijiweni hawatoshelezwi na mwanamke mmoja, ndio hivo hivo na wanawake wakikutana vijiweni hukaa na kuongea... Ooooh! And believe me kaka.... more than 50% halalama wenza wao ni wabovu katika hio sector, na hushia kuwauliza wenzie nifanyeje jamani ili mume wangu aweze niridhisha??

Then the same woman akiwa na mumew sababu most ni really good actresses wanaishia kuonesha kwa wapenzi wao kama wako ulimwengu wa 7 kwa starehe... Na mwanaume akitoka hapo anaridhika kua kamridhisha mkewe.... Kumbe mkewe kisha msoma hata ajitahidi namna gani mwanaume wake achoka haraka.... Sasa DC as a Woman alabda umeumbwa maandalizi mazuri na hadi you cumm ni maybe dakika 40.... Mume uwezo wake max ni dakika 14.... What do you do? Utamwambia wewe huwezi?
Shem hapa tuko jukwaa gani?
 
Yaani wewe upo akinili kwangu kabisaaaaaa..... Haya ndio yalipita akilini kwangu, bahati mbaya hadi yalivuka zaidi ya hapo.... lol.... Bora umemlipua! Naamini kwa mtindo huu anaweza tafuta pengine :redface:


Why think otherwise,

Mtu yeyote ambaye ni mjasiriamali atatumia opportunity iliyo mbele yake vizuri.....

Hata mie ningekuwa mdau, ningewahi kabla sijachelewa.....kwa huyo dada ni sawa na kutiririsha maji toka kwenye kilele cha kilima...resistance ni negative kabisa!!


Babu DC!!!!
 
Jamani DC Usivunje mbavu zako....lol...

Kwani hao wanaume wana lala na nani?? Si sisi wake zao..... Kama vile ambavo wanaume huongea vijiweni hawatoshelezwi na mwanamke mmoja, ndio hivo hivo na wanawake wakikutana vijiweni hukaa na kuongea... Ooooh! And believe me kaka.... more than 50% halalama wenza wao ni wabovu katika hio sector, na hushia kuwauliza wenzie nifanyeje jamani ili mume wangu aweze niridhisha??

Then the same woman akiwa na mumew sababu most ni really good actresses wanaishia kuonesha kwa wapenzi wao kama wako ulimwengu wa 7 kwa starehe... Na mwanaume akitoka hapo anaridhika kua kamridhisha mkewe.... Kumbe mkewe kisha msoma hata ajitahidi namna gani mwanaume wake achoka haraka.... Sasa DC as a Woman alabda umeumbwa maandalizi mazuri na hadi you cumm ni maybe dakika 40.... Mume uwezo wake max ni dakika 14.... What do you do? Utamwambia wewe huwezi?

ADI,

Unaongelea wanawake wa umri gani?? Teens au wale wako 30-40?

Kama mwanamke yuko kwenye umri huo na bado hajajua jinsi ya kuliendesha gari lake vizuri basi she has herself to blame!!

Natamani Nyamayao aje hapa awahakikishie ninayoyasema!!

Babu DC!
 
kilasiku nakuelewa lakinleonimeshindwa kukuelewa.
anaibomoavipnyumba yake mwenyewe?
kwa kutopewa unyumba?
kwa mume kulalanje?

anaonekana kuappreciate huduma za mumewe the only thng ni akuna dudu sasa mpira ukirushia mwanamke et anaharibu nyumba yake apo sjapaelewa au labda uelewawangu mdg au uenda iam leftist n ur light....:cool2:

Welcome back da Rose,

Hope umerudi salama.....:welcome:


:focus:
Hata mie nasubiri ufafanuzi wa ADI kwani sijaona mahali ambapo pamemfanya ambebeshe mzigo wote dada wa watu wakati tayari na zigo la ukame wa 5months!!

Babu DC
 
kilasiku nakuelewa lakinleonimeshindwa kukuelewa.
anaibomoavipnyumba yake mwenyewe?
kwa kutopewa unyumba?
kwa mume kulalanje?

anaonekana kuappreciate huduma za mumewe the only thng ni akuna dudu sasa mpira ukirushia mwanamke et anaharibu nyumba yake apo sjapaelewa au labda uelewawangu mdg au uenda iam leftist n ur light....:cool2:


Kwanza niseme nimefurahi kukuona Rose....

anaibomoavipnyumba yake mwenyewe?

Ana tatizo, ila ana tone ya kukata tamaa na she does not want to work on it; Hio ikiwa imepaliliwa na statement yake ya kwanini yupo nae... (... Kua support itakwama if she leaves); Inaonesha wazi kua hajaonesha intensity ya kukwazika kwake kwa hilo tendo la mumewe kuto weza telekeza hio sector.

kwa kutopewa unyumba?

Unyumba ni muhimu saana katika ndoa, but it is not everything, na ni ndoa nyingi (atleast ndio ninavoamini) ambao once in a while waweza pita hii phase, phase ambayo yaweza sababishwa na mke au mume, na yahitaji busara na uvumilivu wa juu saana kujua what next step to take.

kwa mume kulalanje?

Kuhusu mume kulala nje.... Rose Read between the lines dear katika hio original post..... it is crystal clear if you concetrete enough...


Hapo blue.... then Rose kama you think I think that.... then hujanipata vizuri.....
 
Kwanza niseme nimefurahi kukuona Rose....

anaibomoavipnyumba yake mwenyewe?

Ana tatizo, ila ana tone ya kukata tamaa na she does not want to work on it; Hio ikiwa imepaliliwa na statement yake ya kwanini yupo nae... (... Kua support itakwama if she leaves); Inaonesha wazi kua hajaonesha intensity ya kukwazika kwake kwa hilo tendo la mumewe kuto weza telekeza hio sector.

kwa kutopewa unyumba?

Unyumba ni muhimu saana katika ndoa, but it is not everything, na ni ndoa nyingi (atleast ndio ninavoamini) ambao once in a while waweza pita hii phase, phase ambayo yaweza sababishwa na mke au mume, na yahitaji busara na uvumilivu wa juu saana kujua what next step to take.

kwa mume kulalanje?

Kuhusu mume kulala nje.... Rose Read between the lines dear katika hio original post..... it is crystal clear if you concetrete enough...


Hapo blue.... then Rose kama you think I think that.... then hujanipata vizuri.....

BIG NO ADi!!!!

Ni kauli za kujishawishi kuishi na matatizo....Hakuna ndoa bila unyumba!!

Labda kama haya yameanza siku hizi!!

babu DC!!
 
Hapa kuna tatizo kubwa saana Aminata.... Huyo Mke kwa upande wangu namuona kana kwamba ni very SELFISH.... (Sorry dear kama nitakukwaza for she is your friend...) Sababu za mimi kufikiria yupo selfish ni as follows....

Kwanza... Hio story the way rafiki yako kakusimulia (taking it for granted kua umeandika kama alivokusimulia); Ni kana kwamba anataka awe sympathised kua yeye ndie anae onewa na mwanaume ndie wa kulaumiwa na afikiriwe kua ana mienendo mingine hasa huko nje hasa ya wanawake wengine.... Labda nakosea ila mimi ninavoelewa... Kwa mwanaume ambae ana hawara nje kwa miezi sita akujia usiku na mara asubuhi; kama kweli hilo ndio linalomuweka huko nje angeleta jeuri kwa mkewe kwa kutojali kama mkewe atajua kua ana mwanamke ama lah! IMO kama for 6 months ndio hivo hivo na mumewe anakuja lalama ugumu wa kazi nyumbani.... yawezekana ni kweli bana.... After all ma Doctor waligoma, na wale ambao walikua na roho ngumu ya kutokubali kuacha wito wao wa kujali wagonjwa kwa kweli wameelemewa.

Pili... Inaonesha wazi kabisa kua hampendi mume wake.... For jinsi maelezo yalivo ni wazi mume hajapunguza upendo na huduma ndani ya nyumba ndio kwanza kakazana na yupo reliable na responsible sio tu kwa familia yake (mke na mtoto) hadi ndugu wa mke.... (Kama upendo/mapenzi yangepungua inaonesha wazi huyo rafikiyo angegusia na hizo pande) Lakini kuto gusia kwake ina maana hata hajatafakari hili la Upendo na Mapenzi.... ila tu kazingatia tu tendo la 6/6 (nayo sio sababu hajapata) ila kuonesha tu kua anaonewa. Ukizingatia ni wazi anaishi na mumewe sababu ya huduma anayopata hawezi pata pengine.

Kwangu hio inanifanya nione anaibomoa nyumba/ndoa yake kwa mikono yake miwili.....

HOWEVER


  • Kuna baadhi ya kazi ambazo wanaume hufanya na kuwachosha mno.... To the extent hadi ile wazo la kufikiria kwenda kubanjuka (na twajua nguvu watumiazo pale) inamfanya ashindwe kabisa kufanya tendo. Hata hivo miezi sita ni mingi, angeweza hata jitahidi atake lakini akamiliza ndani ya sekunde.
  • Yawezekana mumewe ana psychological problems ambazo zimeathiri hadi nguvu zake za kiume.... Kumwambiea mke wake labda anaona aibu na kuona kama anaji emasculate; hivo kaongeza bidii na mda wa kufanya kazi ili tu kuepuka kua mda mrefu na mkewe kitandani.
  • Na kweli yawezekana ana mwanamke..... Ila jinsi story ilivo kaa kaa.... IMO Siamini kua ndio kigezo za kushindwa timiza tendo.

AU kama Lawyer Kloro alivo ongea......lol.... It may be true bana maana maadili haya! Only God knows.

AshaDii umenena vyema!
 
nina rafiki yangu kaniomba ushauri na mimi sikuweza kumpatia majibu
ameolewa wana miaka mi4 sasa ktk ndoa na wamebarikiwa mtoto wa kike .......mume wake ni doctor private hospital....
mara ya kwanza alikua anarudi sa moja au akichelewa sana sa mbili ila alikua hazidishi hapo......miezi 6 iliyopita akaanza kuja sa nne usiku na sa ingine asubui akija anatoa sababu kuliletwa mgonjwa kazidiwa sana aliitaji msaada wa haraka so wakabaki kumpatia huduma ,sa ingine anasingizia majeruhi wengi wa ajali leo,mara ooh! nilikua namsaidia doctor mwenzangu kazi kidogo......
ikaja ikafikia hatua hata unyumba hampi shost wangu anamuambia leo nimekutana na mtu kaharibika kila sehemu sina stimu nipe tu wine nilale mana akili imechoka,mara majeruhi wa ajali leo wamenichefua,mara leo nimeona mgonjwa wa cancer sina mood kabisa hata ya msosi(akawa na akija anasema kashiba kabisa hawezi kula)
yani ikawa kila akirudi anakuja na stori ya kuhuzunisha kuliko ya jana yake ili umuonee huruma na kuacha kumuuliza kuhusu unyumba yy alale tu......badae akaanza safari za mikoani mara nimetumwa kikazi,mara nimetumwa kwenda kusaidia hopital ya mkoa moshi kcmc,mara morogoro,mara mbeya yani ikawa inapita hata mwezi hajamuona home anapiga tu simu kua kashindwa kurudi anatuma tu pesa M pesa na kulipa bili ya umeme na maji ju kwa ju
siku moja karudi anamkwaruzo mkubwa kiunoni akasema eti meza ofisini ilimkwarua khaa!.......shost analipiwa ada na huyo mumewe mzumbe university na mdogo wake yuko CBE mwaka wa pili wote analipia huyo mume sasa anashindwa kuondoka mana akiondoka service zinatoweka zote izo......
jana kanipigia simu kua ana miezi 5 hajamgusa wala kuguswa na mumewe eti akimuuliza anajibiwa umekosa nn hapa ndani kama ni hela nakupa na card moja ya bank unayo wewe ukitaka hela katoe,umeme nalipa,maji,kodi .pia unasoma unataka nini zaidi na nishakuambia sina urithi wa kukuachia zaidi ya elimu so nitakusomesha mpaka mwisho
mm nilitaka kumuambia ondoka ila roho ikasita badala yake nikaishia kumuambia pole mpz..............nimekuja huku kuomba ushauri nimuambie nini sasa huyu shost wangu mana namuonea tu huruma asije kuuliwa na HIV......

Dhahiri inaonyesha huyo mjamaa ana mwingine nje, na pia ni vema nae shost wako aangalie bora elim ambayo anaweza asijekuifaidi ama bora kubaki bila elimu na kulast longer baada ya tafakari kama hiyo kwa kina yafaa afikie uamuzi thabiti ambao hatakuja kujutia maishani
 
Ndo hizi jamani ni mateso huyu analia hili mwingine analia lile
 
Shem hapa tuko jukwaa gani?

hahahaha..... :scared:

Why think otherwise,

Mtu yeyote ambaye ni mjasiriamali atatumia opportunity iliyo mbele yake vizuri.....

Hata mie ningekuwa mdau, ningewahi kabla sijachelewa.....kwa huyo dada ni sawa na kutiririsha maji toka kwenye kilele cha kilima...resistance ni negative kabisa!! Babu DC!!!!


No comment... Najua niki Comment nitaharibu! lol
 
ADI,

Unaongelea wanawake wa umri gani?? Teens au wale wako 30-40?

Kama mwanamke yuko kwenye umri huo na bado hajajua jinsi ya kuliendesha gari lake vizuri basi she has herself to blame!!

Natamani Nyamayao aje hapa awahakikishie ninayoyasema!!

Babu DC!


Kuendesha gari sio tatizo.... Wewe mwenyewe DC wajua as time goes by badala ya miundo mbinu kuboreshwa ndio kwanza inaharibika. Gari lako waweza li handle vizuri kabisaa, unahakikisha service ya kutosha, una cheki hadi oil kila asubuhi, na ukikuta bara bara mbaya wapunguza hadi mwendo kuhakikisha tu kua huaribu gari na kama liko chini saana wahakikisha hata sampo isije kwanguka na kuharibika.

Lakini bado tu kila wakati gari lako kila mara ni bovu ama kiwango chake cha kuenda kasi ni ndogo mno hata ukanyage mafuta kiasi gani! Hapo kweli utamlaumu mwendeshaji? hata kama she is doing her very best?
 
BIG NO ADi!!!!

Ni kauli za kujishawishi kuishi na matatizo....Hakuna ndoa bila unyumba!!

Labda kama haya yameanza siku hizi!!

babu DC!!


Khaaaa!! What are you saying? Uwe ndani ya ndoa mwenzio hawezi fanya basi ukimbie ndoa na wajua fika huko mwanzo alikua akikufikisha vilivo na alikua akikutendea haki? Ndio maana wanasisitiza saana ubunifu katika mapenzi DC.... Sex bana kumridhisha mkeo sio lazima umtumie Senior.... Kama senior ana tatizo you can still make love thou mmoja atapunjika :redface:
 
Back
Top Bottom