Labda hajafundishwa yeye angeomba yeyote na sasa ziko dawa za PrEP kwa wanandoa ambao hawafanani kiafya inawezekana kuoa au kuolewa na mwenye VVU na mkazaa watoto wazimaUsiweke limitation, nimeona documentally huko Kenya kuna jamaa NEGATIVE kaamua kuoa mwenye HIV kwa hiyari yake na sasa wana watoto kwa msaada wa madaktari.Inawezekana na huku Tz wapo wenye roho ngumu.
Haya asante kwa ushauriLabda hajafundishwa yeye angeomba yeyote na sasa ziko dawa za PrEP kwa wanandoa ambao hawafanani kiafya inawezekana kuoa au kuolewa na mwenye VVU na mkazaa watoto wazima
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushampata mkuuHaya asante kwa ushauri
BadoUshampata mkuu
Sent from my SM-A105F using Tapatalk
Kila la kheri mkuu"Bado
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ameen asanteKila la kheri mkuu"
127
Sent from my SM-A105F using Tapatalk
Doh nini
Kazi ya nini tena.Kazi kweli kweli kuwa uyaone
Ha ha haaaa
Utaelewa tu baadae ya kumpata wa kufanana na weweKazi ya nini tena.
Ha ha ha ha haaaaaa, nieleweshe jamani..Utaelewa tu baadae ya kumpata wa kufanana na wewe
Kuna sehem nakwama au ha ha ha haaUtaelewa tu baadae ya kumpata wa kufanana na wewe
Natamani nikuone live nikupe ushauri halisia ila poa tuKuna sehem nakwama au ha ha ha haa
Ushauri halisia ha ha ha ha ha dohNatamani nikuone live nikupe ushauri halisia ila poa tu
New year 2020