Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,971
- 4,085
Ila hii nchi bana, wanawake wa nchi hii sijui wamepatwa na nini! Jamaa katishia kumuua mke wake kisa mama watoto anamplekea nyama mchungaji
[emoji23][emoji23]
“Mheshimiwa hakimu huyu mwanamke anakera sana, yaani tukichinja kuku, vipaja na vidari vyote anapelekewa mchungaji, alafu mimi ninayetafuta pesa kwa shida napewa vipapatio."
“Hii tabia imeota mizizi kiasi kwamba nahisi anatoka naye kimapenzi, kwanza mchungaji mwenyewe hana mke. Hivi hata ungekuwa wewe usingehisi vibaya?”
- Joseph Moses mkazi wa Mbeya anayedaiwa kutisha kumuua mkewe
[emoji23][emoji23]
“Mheshimiwa hakimu huyu mwanamke anakera sana, yaani tukichinja kuku, vipaja na vidari vyote anapelekewa mchungaji, alafu mimi ninayetafuta pesa kwa shida napewa vipapatio."
“Hii tabia imeota mizizi kiasi kwamba nahisi anatoka naye kimapenzi, kwanza mchungaji mwenyewe hana mke. Hivi hata ungekuwa wewe usingehisi vibaya?”
- Joseph Moses mkazi wa Mbeya anayedaiwa kutisha kumuua mkewe