Mume kumgeuza rafiki ndio kila kitu kwake

Huu ni uandishi wa kijana ambaye bado yupo chuo au amemaliza hivi karibuni bado hajaanza kusota na vibahasha,
Kuna mada zingine zinakua kubwa unaachana nazo tu.
Siyo mwanandoa na bado yupo chini sana kwenye mahusiano yaki jamii, Serikali inabidi iwekwe somo la mahusiano yaki jamii mashuleni ili kuokoa jamii, sisi watanzania atujui mipaka ya mahusiano ya ndugu jamaa na marafiki.
 
Ushauri wangu wagombanishe anza mahusiano na huyo rafiki yake ikiwezekana mtongoze kama akikubali ukikaa nammeo uwe unamsifusifu jamaa tu mala ana gaden lov zili mala yupo strong mmeo ataanza kukata mahusiano na rafikiake kwa speed
Endapo ya kwanza itafeli kama anakulaga chakula unacho pika anza kumjali kupitiliza mpigie simu za njoo tule mala kwa mala ikiwezekana una over the game maisha sio lele mama

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Duh, ndugu hiki kisa hakipaswi kuwa comment. Hii ilitakiwa iwe katika uzi unaojitegemea. Kuna somo kubwa mno hapa.
Unataka kusema amemfunika mtoa mada..?? Ni kawaida hyo mbna. Umesahau uzi wa Rikiboy watu walitoa Visa Mara mia vizuri kuliko cha kwake.. na uzi ukatembea Kama fire.jf ukiona stor imeandikwa focus Kwa wachangiaji utapata Madini ya kutoshaa
 
Hapa ndio huwa naikumbuka ngoma ya Proff Jay - Bongo Dar Es Salaam, ukiwa afya lege lege unakata moto unajiona hivi hivi
 
Usimwamini......

Mwanamke........cos ni wabinafsi
Mume akiwa na rafiki shida ila marafiki awe nao yeye wew hubaki kama sanamu no friend no friend...............
Mwanaume yeyote hua na ukomo kwenye urafiki hasa huu urafiki wa ukubwani hua tunaweka limit mara nying urafik wetu hua unapande mbili yaani kila mmoja atanufaika kwenye urafiki huo.....(fighting spirit)........
 
Hapa ndio huwa naikumbuka ngoma ya Proff Jay - Bongo Dar Es Salaam, ukiwa afya lege lege unakata moto unajiona hivi hivi
"Aliyeuza Cheni ameuza Cheni bandia na aliyeuziwa Cheni ametoa hela bandia, tuliozoea jiji tunasema ngoma droo"..... Ila kwa huyu Anko wa Mari, alipigwa na kitu chenye ncha kali, amejifunza kwa kweli, lol
 
Unataka kusema amemfunika mtoa mada..?? Ni kawaida hyo mbna. Umesahau uzi wa Rikiboy watu walitoa Visa Mara mia vizuri kuliko cha kwake.. na uzi ukatembea Kama fire.jf ukiona stor imeandikwa focus Kwa wachangiaji utapata Madini ya kutoshaa
Nadhani alimaanisha story nzuri kama ile yenye funzo imefichwa kwenye comment ilipaswa iwe na uzi wale ili iwafikie wengi kwa urahisi wajifunze..... Mimi mwenyewe kanisimulia kwa kirefu aisee inatishaa kuna watu wauaji, imebidi huyo mjomba nimuonee tu huruma.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ina maan docs za nyumba na ardhi zilikua jina la nani?
Khaaaaaaah.
We acha tu babe, unaambiwa mjomba alikua anamwaga mihela tu yeye si ndio alikua anamjengea mwanamke kwa hiyo docs majina ya huyo mwanamke..... ila angekua ni mjomba angu ningebeba panga nikadai jasho letu 🤣
 
Njoo tusimulie na Sie basi...
 
Hii ni hoja nzito sana best.

Hapo ulipo, upo njiapanda bila kufahamu uelekeo halisi. Hebu tuangalie haya mambo kidogo.

1.
Mtu anayechukia wsnawake inawezekana ni mhanga wa downsyndrome aliyetokana na malezi ya kufanyiwa ukatili na wsnawake labda mama wa kambo, mashangazi au upande wa mama ambao walimtesa sana hadi kikua.
Au labda ameshaumaliza mwendo na sasa anafanya mambo sambamba na wanawake hivyo hawezi kukubali kuzidiwa na wanawake.

2.
Hana kazi na anazurura kutwa na mumeo, inawezekana anatumia uchawi kumnasa mumeo ili kuchuma mali kutoka kwenu. Jaribu kuchunguza kama ana watoto na wanatunzwaje? Hizi zipo sana mjini yaani mtu hana kazi lakini mboga saba hazikosekaniki mekoni

3.
Jamaa labda ni dalali wa wsnawake na hivyo anamuonesha mumeo viwanja vipya vya matumizi.

4.
Shetani ameingilia ndoa yako.

USHAURI
1.
Usiache kumuomba Mungu wako atengeneze ndoa yako

2.
Tafuta watu wenye busara wakae na ninyi wawili muanze kuyajenga. Na ikiwezekana viongozi wa dini wenye kuthamini na kuheshimu ndoa wahusishwe

3.
Ukiona hakuna ni vyema unaruhusiwa kuchukua hatua za kisheria dhidi ya huyo rafiki wa mumeo kwa sababu anaingilia mahusiano yenu halali

Usiache kusali
 
Acha kulalamika kwa vitu vya kupita

Wanawake mko na njaa Sana inawatesa Mimi binafsi Sina Muda kumsikiliza Mwanamke wengi waongo waongo plus roho mbaya .

Hii nimeona Sana wanawake hawapendi mtu Apate hata Muda wa kufurahi na marafiki ni upuuzi mtupu kid

Hamna shetAni hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…