Mume kumgeuza rafiki ndio kila kitu kwake

Mume kumgeuza rafiki ndio kila kitu kwake

Kwa kizazi cha Sasa usikute wanatatuana marinda na hizo txt za wanawake usikute ni huyo jamaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hajui huyooo, wee muacheee atakuja stukaaa marafiki wanaishi woteee, na wanapeana zamu.
 
Yaan mim mwanaume wangu awe na rafiki nisiempenda mbona wataachana tu tengeneza zengwe,fitina ,chuki,uongo amchukie kabisa anakushindaje?
Wapo marafiki wa hivyo wa kugandana angalia ukute wanafirana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareee sanaaa.
 
Yaan mim mwanaume wangu awe na rafiki nisiempenda mbona wataachana tu tengeneza zengwe,fitina ,chuki,uongo amchukie kabisa anakushindaje?
Wapo marafiki wa hivyo wa kugandana angalia ukute wanafirana
Dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Pole sana, huyo ni mke mwenzio. Au ndio anakula mumeo kinyeo... watu wengi walioishia kuuchunguza urafik wa namna hyo kiundani hawakutoka na majibu mazuri zaidi ndoa ziliishia kufa. Pole sana muombe Mungu akuondolee huyo pepo kwenye ndoa yako
Kabisaaaa ni wapenziii hawa.
 
Pole dada uyo mume wako atakua SHOGA, yes yaani baba junior ni punga either anakazwa au anamkaza uyo rafiki ake wa mbagala.

Machoko wengi sana mjini hapa
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wengi hawajionesh sasa, wana act urafiki. Lol
 
Ndio baadhi ya wanaume walivyo hatuwezi kuamini ke percent 100 no way lazima utafute rafiki mwenzako wa kiume mshauriane kiume zaidi au umesahau sir God alituasa tuishi nanyi kwa akili hivyo simpingii mshkaaji yupo very right hivyo tulia tu ndani Mambo yasije yakawa mengi hapa 🤣🤣🤣🤣 utaisoma namba safari hii.
Sipendezwagi na comments zako sijui why ...🚮
 
Ndio baadhi ya wanaume walivyo hatuwezi kuamini ke percent 100 no way lazima utafute rafiki mwenzako wa kiume mshauriane kiume zaidi au umesahau sir God alituasa tuishi nanyi kwa akili hivyo simpingii mshkaaji yupo very right hivyo tulia tu ndani Mambo yasije yakawa mengi hapa 🤣🤣🤣🤣 utaisoma namba safari hii.
Rubbish.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimewaza hivyoooo.
Mtu yeyote aliyekuwa kwenye ndoa ya muda mrefu kwa maisha hayo haiwezekani kabisa, labda ushirikina uingilie kati.
 
Umemshauri vizuri kaka mkubwa.

Story ya huyo dada inafanana na ya Aunt yangu, ndoa yake ili vamiwa na kidudumtu akamshika Anko kichwa akawa anamtafutia wanawake, kila kitu anamshirikisha, nyumba ikawa haina amani, hajali tena familia yeye ni wa kupelekeshwa na huyo rafiki aliyemuamini kuliko nafsi yake, Aunt alikonda sana, alihangaika sana kuwatenganisha vikao na vikao viliwekwa lakini wapiiii.

Siku moja huyo kidudumtu akamtambulisha Anko kwa mwanamke akadai alikua anaishi Uingereza ameachana na mume wake amerudi Tz, basi wakaanza mahusiano penzi lilinoga akawa harudi nyumbani hata wiki, nguo akahamishia kwa huyo Muingereza, si akaanza kumjengea nyumba bhana, unaambiwa Anko alitumia pesa zake zote na mikopo juu kujenga nyumba ya kifahari, nyumba ilijengwa kwa shinikizo la huyo huyo rafiki mtu akamshawishi ajenge nyumba ya kifahari amuoe huyo mwanamke waishi wote.

Kufupisha story, siku moja anko, kidudumtu na yule mwanamke walikua hoteli moja maarufu kwenye live band, mmoja wa waimbaji wa ile Band anawafahamu wote watatu si ndio akaenda kuwasalimia bhana akawa anamuita yule mwanamke shemeji, kwa kuzuga ikawa hana namna ilibidi aitikie na kulazimisha uchangamfu, baada ya yule muimbaji kuondoka kidudumtu na Mwanamke wa UK hawakua na furaha baada ya muda wakaondoka, lakini Anko akabaki na alama nyekundu vipi yule muimbaji amuite yule Mwanamke Shemeji? Alijua ni Mwanamke wa nani wakati yeye mke wake anajulikana na yule hawara anamficha kama bangi sura yake haitambuliki isipokua kwa rafiki yake? na Rafiki yake hana Mke? Hakutaka kupuuzia hilo.

Weekend iliyofata akaenda peke yake akamuomba muimbaji wazungumze pembeni, alipomuuliza kama yule mwanamke anamjua muimbaji akashangaa sana akamjibu mbona yule ni mke wa rafiki yako? Ina maana pale kwenye meza nyie mlikaa bila kujuana au ina maana hujui kama rafiki yako ana mke na watoto na yule mwanamke! Anko alipoteza fahamu hapo hapo.

Anko aliwajengea Mume na Mke nyumba nzuri huku yeye akibakiwa na madeni na msongo wa mawazo alirudi kwa mke wake suruali imetepeta, zombie si zombie ilichukua miezi 6 kurecover, nyumba hakuipata na huo ndio ukawa mwanzo na mwisho wa urafiki wao.

Kuna tetesi zilisema alikua anaenda kuitizama nyumba yake kwa mbaaali huku analia ndio familia ikaazimia imuhamishe Mkoa.
Haya mambo watu wanayafanya sana
 
Yaan mim mwanaume wangu awe na rafiki nisiempenda mbona wataachana tu tengeneza zengwe,fitina ,chuki,uongo amchukie kabisa anakushindaje?
Wapo marafiki wa hivyo wa kugandana angalia ukute wanafirana
Well said,,,coz binadamu hawaaminiki now dayz
 
marafiki zake wa zamani mmoja wapo alikuja dar kututembelea mi nilikuwa nimesafiri nilivo rudi akaniambia shemu uyu Rafiki wa mumeo wa sasa hivi sio mtu mzuri mi sikutilia akilini sana kwanini ananiambia hivyo Wala sikujua kaona Nini

Mtafute huyo Rafiki atakupa Jibu la Maswali yako... Kisha Chukua hatua...
 
Njia rahisi ya kumfanya mwanaume astuke ni kubadilisha mwenendo wako.....we jifanye kama umebadilika na upo busy na mambo yako na hujali kuhusu mumeo Wala rafiki yake.....kiufupi punguza mapenz Kwa mumeo af uone atakavyochanganyikiwa
 
Habari zenu wapendwa,

Mwenzenu nina changamoto nipo kwenye ndoa miaka 13. Mimi na mume wangu tulikuwa tunapendana sana tulikuwa marafiki wazuri ila baada ya kuhamia Dar mwaka 2015 kuanza maisha mume wangu akapata Rafiki uyo Rafiki yake ni wale watu wenye uswahili mwingi maisha yakaendelea tukapata maisha biashara nzuri tuna mafanikio sasa hivi, ila yule Rafiki wa mume wangu Hana kazi kwa hiyo muda wote anafatana na mume wangu.

Muda mwingine mume wangu anaacha kazi kwenda kuzurura na rafiki yake nikawa namwambia mume wangu shughuli za kazi zetu ni mjini wewe unashinda Mbagala huku biashara nani anaendesha, basi anakuwa mkali.

Yaani nikitaka kumuongelea huyo rafiki yake vibaya anakuja juu. Mume hanywi pombe havuti sigara hapendi mpira ila siku akiwa na rafiki yake kurudi nyumbani ni saa 7 au saa 8 usiku msg za wanawake kama zote kwenye simu ila wakitengana na Rafiki yake kama miezi miwili au mitatu anawahi kurudi simu anaacha peupe anashinda mazingira ya kazini.

Mwanzo nikasema labda mimi namchukia huyu Rafiki yake ngoja nianze kuongea naye, ukikaa naye ni kama mtu Mwenye chuki na wanawake haoni thamani ya mwanamke anamwambia mume wangu

1) Mwanamke akikupenda anakuwa kama mzigo bora kuishi na mwanamke asiyekupenda

2) Hii alinambia mimi yaani wewe usipokuwa karibu na mimi nina uwezo kumharibu mumeo kumpeleka kwenye makundi mabaya na urafiki wangu na mumeo wakutenganisha Bado hajazaliwa

3) Mke kitu gani, wangapi tunasikia huyu alikua mke wa fulani kwa hiyo kuachana na mke sio ishu.

Mume wangu kila kitu cha ndani ya ndoa anamwambia hakuna kitu hajui nilimwambia mume wangu vitu vingine ni siri yetu haelewi.

Mume wangu nampenda ila nahisi ye anampenda zaidi rafiki yake kuliko Mimi. Imefikia hatua nawaza niondoke nimuache na Rafiki yake au niendelee kumvumilia huyo Rafiki yake maana hata akipiga simu huyo Rafiki yake anaenda kuongelea nje.

Nahisi ndoa imekuwa ya watu wa tatu sio wawili tena naomba mnisaidie ushauri.
Chunguza usikute n mke mwenzio
 
Rafiki wa mume anapochukua nafasi ya mke

Wacha tuingie kwenye maombi tuu
 
Yaani huyo rafiki anachukia wanawake halafu anashinda na mume wako mpaka usiku wa manane ...mh kuna harufu ya unanilii
20230114_003334.jpg
 
Ushikaji Sasa umezidi...
Watu wa Dar punguzeni Ulambwasa...
Mna hizo tabia sana hasa watoto wa vijiweni nyie mnaita Leo chawa .
Yani Ile Brother Brother
Kaka Mkubwa , Kaka mkubwa.... Sijui Ndugu yangu .

Sitaki Mazoea mazoea ya Kisangwenya
Kazi yangu na Navojiweka huwezi nizoea kindezi ndezi vile.
Kaa mbali na ikiwezekana chukua time Sitaki uswahili.
Nina shida Fulani ntafuata taratibu au michongo ikiisha imeisha. Sizoereki kifala fala .
Sometimes reduce the degree of unnecessary interactions with peers.
 
Umemshauri vizuri kaka mkubwa.

Story ya huyo dada inafanana na ya Aunt yangu, ndoa yake ili vamiwa na kidudumtu akamshika Anko kichwa akawa anamtafutia wanawake, kila kitu anamshirikisha, nyumba ikawa haina amani, hajali tena familia yeye ni wa kupelekeshwa na huyo rafiki aliyemuamini kuliko nafsi yake, Aunt alikonda sana, alihangaika sana kuwatenganisha vikao na vikao viliwekwa lakini wapiiii.

Siku moja huyo kidudumtu akamtambulisha Anko kwa mwanamke akadai alikua anaishi Uingereza ameachana na mume wake amerudi Tz, basi wakaanza mahusiano penzi lilinoga akawa harudi nyumbani hata wiki, nguo akahamishia kwa huyo Muingereza, si akaanza kumjengea nyumba bhana, unaambiwa Anko alitumia pesa zake zote na mikopo juu kujenga nyumba ya kifahari, nyumba ilijengwa kwa shinikizo la huyo huyo rafiki mtu akamshawishi ajenge nyumba ya kifahari amuoe huyo mwanamke waishi wote.

Kufupisha story, siku moja anko, kidudumtu na yule mwanamke walikua hoteli moja maarufu kwenye live band, mmoja wa waimbaji wa ile Band anawafahamu wote watatu si ndio akaenda kuwasalimia bhana akawa anamuita yule mwanamke shemeji, kwa kuzuga ikawa hana namna ilibidi aitikie na kulazimisha uchangamfu, baada ya yule muimbaji kuondoka kidudumtu na Mwanamke wa UK hawakua na furaha baada ya muda wakaondoka, lakini Anko akabaki na alama nyekundu vipi yule muimbaji amuite yule Mwanamke Shemeji? Alijua ni Mwanamke wa nani wakati yeye mke wake anajulikana na yule hawara anamficha kama bangi sura yake haitambuliki isipokua kwa rafiki yake? na Rafiki yake hana Mke? Hakutaka kupuuzia hilo.

Weekend iliyofata akaenda peke yake akamuomba muimbaji wazungumze pembeni, alipomuuliza kama yule mwanamke anamjua muimbaji akashangaa sana akamjibu mbona yule ni mke wa rafiki yako? Ina maana pale kwenye meza nyie mlikaa bila kujuana au ina maana hujui kama rafiki yako ana mke na watoto na yule mwanamke! Anko alipoteza fahamu hapo hapo.

Anko aliwajengea Mume na Mke nyumba nzuri huku yeye akibakiwa na madeni na msongo wa mawazo alirudi kwa mke wake suruali imetepeta, zombie si zombie ilichukua miezi 6 kurecover, nyumba hakuipata na huo ndio ukawa mwanzo na mwisho wa urafiki wao.

Kuna tetesi zilisema alikua anaenda kuitizama nyumba yake kwa mbaaali huku analia ndio familia ikaazimia imuhamishe Mkoa.

Wanamuhamisha anko!? Hiyo case inaishaje bila ya kisasi…… the return of the superman, tena hao wapenda misic sijui na pombe ku deal nao ni rahisi bila kuacha traces…..akaushe 2-3 years
 
Back
Top Bottom