Mume kumgeuza rafiki ndio kila kitu kwake

We acha tu babe, unaambiwa mjomba alikua anamwaga mihela tu yeye si ndio alikua anamjengea mwanamke kwa hiyo docs majina ya huyo mwanamke..... ila angekua ni mjomba angu ningebeba panga nikadai jasho letu [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mjombaaa aliletwa mjini rasmi. Khaaaaah
 
Usije ukamuacha mumeo Kwa ajili ya huyo jamaa SI kila rafiki ni rafiki huyo rafiki yake mumeo hafai kabisa na s mtu mwema na kitaalamu tunasema kamshika nyota mumeo yaani mumeo kainamishwa kichwa chini tumia njian mbadala za kumfanya mumeo amchukie huyo jamaa SI mwema katika ustawi wa ndoa yenu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…