inverse thinker
New Member
- Oct 18, 2020
- 1
- 2
Habari!Mimi ni mwanamke wa miaka 30,Nina mtoto mmoja.Sijawahi kuolewa.Najitokeza nikiwa na nia ya dhati kutafuta mume popote pale ndani ya Tanzania.
Sifa ninazohitaji,
Awe mkristo mwenye hofu ya Mungu
Umri kuanzia 34-50
Awe na kazi/shughuli ya kuingiza kipato
Awe tayari kujenga familia
Awe mkweli na muwazi
Yeyote mwenye uhitaji kama wangu,karibu sana Pm.
Sifa ninazohitaji,
Awe mkristo mwenye hofu ya Mungu
Umri kuanzia 34-50
Awe na kazi/shughuli ya kuingiza kipato
Awe tayari kujenga familia
Awe mkweli na muwazi
Yeyote mwenye uhitaji kama wangu,karibu sana Pm.