Thank u.. Mungu mwemaUsiamini kwenye kukata tamaa binti nimependa kua una ujasiri wa kuiwaza kesho huo ndio msingi wa kujiamini hapa jukwaani jiandae na kila aina ya changamoto ila jua wengi kati yetu tuna hali au tunaweza kua na hali kama yako baadae na sio jambo la ajabu tena nakuombea umpate jasiri kama wewe na mwenye imani kama yako na hakika Allah atawafanyia wepesi na familia atawajalia.
Keep Ya head Up...Stay Focused....Never Give Up.
Hey.Mim ni msichana, umri miak 26 ,elimu yangu kidato cha sita.. nahitaji mwanaume wa kuwa nae kimaisha anayefanana na mm, yaan kwenye vvu, awe na umri kati ya miaka 28-32 ,pia awe muislamu kwa sababu ninalenga kwenye maisha ya ndoa hapo badae.
Relax na furahia maisha...Mungu anakupenda..Furaha ya BWANA ni nguvu kwako... jitahidi uwe wazi daima..zingatia matibabu,kula vizuri,pumzika vya kutosha,mpe Mungu nafasi kubwa..Mungu kwanza mengine baadayeAsante sana
Nakusudia sasa sio kumtafuta mtu halafu wanaanza kudate mwaka mara mnaachana then anatafuta mwingine.... kama ni muislamu mambo mepesi ukimpata ni ndoa fastaWatafuata ushauri nasaha, hakuta kuwa na maambukizi mapya.
Asante sanaWewe mdogo wangu hustahili pole hata kidogo, wewe ni shujaa na shujaa hapewi pole hupewa pongezi....hongera kwa kuikubali hali yako, ni watu wachache sana ambao wapo kama wewe, hongera sana na M/Mungu aendelee kukujaalia Afya njema upate mume msikivu mtakayesikilizana na kusaidiana kwa hali na Mali
Kheri yako wewe umejipangia kesho yako kuliko sisi tulio hatuijui
Na si lazima awe mwenye maambukizi, hata ambae haathirika anaweza kuishi nae vizuri bila kupata maambukizi kama anafuta ushauri nasaha.Nakusudia sasa sio kumtafuta mtu halafu wanaanza kudate mwaka mara mnaachana then anatafuta mwingine.... kama ni muislamu mambo mepesi ukimpata ni ndoa fasta
Eeeh. Ni kweli lkn ngumu kumesa!Na si lazima awe mwenye maambukizi, hata ambae haathirika anaweza kuishi nae vizuri bila kupata maambukizi kama anafuta ushauri nasaha.
AsanteeUcjal.. Dada utampata tu nami nilimpata aliye mzima wa afya humu humu na nilihitaj aliye na VVU na sasa tuna enjoy life.. Unayo haki ya kupendwa kama wengine...Mungu ni mwema
Ndo ninapofocus mpendwaNakusudia sasa sio kumtafuta mtu halafu wanaanza kudate mwaka mara mnaachana then anatafuta mwingine.... kama ni muislamu mambo mepesi ukimpata ni ndoa fasta
Mim ni msichana, umri miak 26 ,elimu yangu kidato cha sita.. nahitaji mwanaume wa kuwa nae kimaisha anayefanana na mm, yaan kwenye vvu, awe na umri kati ya miaka 28-32 ,pia awe muislamu kwa sababu ninalenga kwenye maisha ya ndoa hapo badae.
Unataka ndoa au kuzini kwanzaMim ni msichana, umri miak 26 ,elimu yangu kidato cha sita.. nahitaji mwanaume wa kuwa nae kimaisha anayefanana na mm, yaan kwenye vvu, awe na umri kati ya miaka 28-32 ,pia awe muislamu kwa sababu ninalenga kwenye maisha ya ndoa hapo badae.
Nimependa na kufurahi unavyomfariji huyu ndugu yetu.....Mungu mwema akubariki nawe!Relax na furahia maisha...Mungu anakupenda..Furaha ya BWANA ni nguvu kwako... jitahidi uwe wazi daima..zingatia matibabu,kula vizuri,pumzika vya kutosha,mpe Mungu nafasi kubwa..Mungu kwanza mengine baadaye
Unamdanganya mwenzio wizi mtupu huo na usanii wajinga ndio wanaliwaKama unapenda na mie nikupe ushauri so long as unajua hakuna kitu ambacho Mungu hawezi kutenda, I mean Mungu anaponyesha ugonjwa(any decease or sickness) wowote at His own will! Kwa sababu wewe una upeo wa kuweza kufuatilia mambo angalia website hii hapa and be curious kuelewa then utajua cha kufanya au uteelekezwa what step to take so long as you have medical report utapona kabisa, www.youtube.com/SCOANVIDEOS or kama una kingamuzi kizuri angalia channel ya Emmanuel tv make close follow up of the events. Usually it costs nothing! yaani healing is free of charge what matters is faith since utaona live testimonies even if ni sleep apnea, diabetes, cancer stage four, kidney failure and so on.