Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,227
Thank u.. Mungu mwema
Hakuna kitu kama VVU dada...hebu acha kupotoshwa...wewe ni mzima kabisa
Hayo mambo ya VVU sijui UKIMWI ni saikolojia yako tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank u.. Mungu mwema
Mama unatafuta bidhaa adimu kama rupia ya mkoloni.Mim ni msichana, umri miak 26 ,elimu yangu kidato cha sita.. nahitaji mwanaume wa kuwa nae kimaisha anayefanana na mm, yaan kwenye vvu, awe na umri kati ya miaka 28-32 ,pia awe muislamu kwa sababu ninalenga kwenye maisha ya ndoa hapo badae.
Watu wengine mnaweza kuwasababishia wengine kuvuna dhambi ktk coment zenu, taratibu bana.Maisha ya ndoa hapo baadae au sasa? Usipokuwa makini utaambukizwa tena vvu.
ni pm nkupe mchongoMim ni msichana, umri miak 26 ,elimu yangu kidato cha sita.. nahitaji mwanaume wa kuwa nae kimaisha anayefanana na mm, yaan kwenye vvu, awe na umri kati ya miaka 28-32 ,pia awe muislamu kwa sababu ninalenga kwenye maisha ya ndoa hapo badae.
Sijawah kuyumba kwa ajil ya ziaka au kebehi so jus suit yoself ndugu yangu.weka vyeti vyako kwanza kuna kampeni ya doni be like bashite
Pm me only for somethng seriously am okayni pm nkupe mchongo
sio dhihaka wacha maneno weka vyeti mamaSijawah kuyumba kwa ajil ya ziaka au kebehi so jus suit yoself ndugu yangu.
Pole sana mungu akusaidie maan inaelekea hujui hata unachokiongea..sitazidish neno.sio dhihaka wacha maneno weka vyeti mama
im seriousPm me only for somethng seriously am okay
khee kila la kherimiss chagga sikutaki tena nishampata mwenzangu... we tutaonana kwenye kuchepuka kimya kimya... si unajua cha kale dhahabu..!
Kila la kheri.Mim ni msichana, umri miak 26 ,elimu yangu kidato cha sita.. nahitaji mwanaume wa kuwa nae kimaisha anayefanana na mm, yaan kwenye vvu, awe na umri kati ya miaka 28-32 ,pia awe muislamu kwa sababu ninalenga kwenye maisha ya ndoa hapo badae.
acheni kuifanya jf kuwa kitototo. we should be matured.Mim ni msichana, umri miak 26 ,elimu yangu kidato cha sita.. nahitaji mwanaume wa kuwa nae kimaisha anayefanana na mm, yaan kwenye vvu, awe na umri kati ya miaka 28-32 ,pia awe muislamu kwa sababu ninalenga kwenye maisha ya ndoa hapo badae.
Utoto upi ndugu yangu?acheni kuifanya jf kuwa kitototo. we should be matured.
Wewe sasa ndo umeleta utoto...acheni kuifanya jf kuwa kitototo. we should be matured.