Mume muathirika wa VVU anaitajika

Mim ni msichana, umri miak 26 ,elimu yangu kidato cha sita.. nahitaji mwanaume wa kuwa nae kimaisha anayefanana na mm, yaan kwenye vvu, awe na umri kati ya miaka 28-32 ,pia awe muislamu kwa sababu ninalenga kwenye maisha ya ndoa hapo badae.
Mama unatafuta bidhaa adimu kama rupia ya mkoloni.
 
Mim ni msichana, umri miak 26 ,elimu yangu kidato cha sita.. nahitaji mwanaume wa kuwa nae kimaisha anayefanana na mm, yaan kwenye vvu, awe na umri kati ya miaka 28-32 ,pia awe muislamu kwa sababu ninalenga kwenye maisha ya ndoa hapo badae.
ni pm nkupe mchongo
 
mi nipo tayar ila sina imani kama upo seriously kama nilivyo mimi... hamchelewi kuzingua tu...!
kama ni kweli tunaweza kula bata mama!!!
 
Mim ni msichana, umri miak 26 ,elimu yangu kidato cha sita.. nahitaji mwanaume wa kuwa nae kimaisha anayefanana na mm, yaan kwenye vvu, awe na umri kati ya miaka 28-32 ,pia awe muislamu kwa sababu ninalenga kwenye maisha ya ndoa hapo badae.
Kila la kheri.
 
Ng'ombe avunjikapo mguu hurejea zizini, pole sote tuko kwa njia moja ,mzima wa Leo mgonjwa was kesho ndugu
 
Mim ni msichana, umri miak 26 ,elimu yangu kidato cha sita.. nahitaji mwanaume wa kuwa nae kimaisha anayefanana na mm, yaan kwenye vvu, awe na umri kati ya miaka 28-32 ,pia awe muislamu kwa sababu ninalenga kwenye maisha ya ndoa hapo badae.
acheni kuifanya jf kuwa kitototo. we should be matured.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…