Baharia2017
Member
- Dec 14, 2016
- 11
- 1
nipo Arusha PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nina miaka 38 sijaoa na wala sina mpango wa kuoa kwa sasa. Kuoa ni uamuzi tu.Miaka 30 hajaoa atakua mzima huyo kweli ?
basi we ni mzinzi watoto haramu kibao..Mimi nina miaka 38 sijaoa na wala sina mpango wa kuoa kwa sasa. Kuoa ni uamuzi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hapa ni mtaani, mtaa wa jfInaonekana mtaani
Kuna uhaba wa wanaume
Mpaka tunataftwa jf dhaaa
Anajutia makosa yake kwa Mola wakeTangazo limekosewa sana na umetukosea pia
Yaani una mtoto wa bila ndoa na huku unatafuta anaemwogopa Mungu
Na bora umekimbia bila kumjibu hata mmoja
Tangazo limekosewa sana na umetukosea pia
Yaani una mtoto wa bila ndoa na huku unatafuta anaemwogopa Mungu
Na bora umekimbia bila kumjibu hata mmoja
Inaonekana mtaani
Kuna uhaba wa wanaume
Mpaka tunataftwa jf dhaaa
Si ajabu baba mwenyewe ni wewe, kwanini unamshambulia hivyo??--
Anajutia makosa yake kwa Mola wake
😂 😂 😂 😂 😂 😂 eti jamaa zako5% = mashoga
3% = walokole
10% = jamaa zako
40% = Watoto.
30% = Vijana.
15% = Waliobaki wana umri zaidi ya miaka 66