kama yeye ni muislamu acha atafute muislamu mwenzakeNenda somalia hapo utawapata wengi bongo hapa ni mchanganyiko na kwa hapa kutenda mema3 kuwa na huruma na upendo wa kweli havina mahusiano yoyote na dini. Ndoa hudumu kwa sababu kuna mtu kazaliwa mstahimilivu wa mapungufu ,ujinga na kero za mwenzake na sii kwa sababu ya dini
nimeipenda hii...lakin hapo kwenye dini sijakuunga mkono😁...Ndoa hudumu kwa sababu kuna mtu kazaliwa mstahimilivu wa mapungufu ,ujinga na kero za mwenzake na sii kwa sababu ya dini
Hakuna ndoa kat ya muislam na asie kua muislam kwahiyo ni lazma afate amri ya mola wakeNenda somalia hapo utawapata wengi bongo hapa ni mchanganyiko na kwa hapa kutenda mema3 kuwa na huruma na upendo wa kweli havina mahusiano yoyote na dini. Ndoa hudumu kwa sababu kuna mtu kazaliwa mstahimilivu wa mapungufu ,ujinga na kero za mwenzake na sii kwa sababu ya dini
Shida sio ndo kudumu shida ni uoe au uoelewe na wadini yako ili isilete migogoro ya kifamiliaNenda somalia hapo utawapata wengi bongo hapa ni mchanganyiko na kwa hapa kutenda mema3 kuwa na huruma na upendo wa kweli havina mahusiano yoyote na dini. Ndoa hudumu kwa sababu kuna mtu kazaliwa mstahimilivu wa mapungufu ,ujinga na kero za mwenzake na sii kwa sababu ya dini
Abdoool niachane na mke wangu mzungu nije nioe utopolo huu haiwezekani.Si usilimu tu , uwache ushirikina wa kuabudu kiumbe anayekunya kama wewe. Ukajichukulie kifaa
Sina kazi
Awe na chochote cha kumpa rizki
HahahahaWenye vibamia tunaruhusiwa kuomba hifadhi?