Mume muislam anahitajika

Mume muislam anahitajika

Nenda somalia hapo utawapata wengi bongo hapa ni mchanganyiko na kwa hapa kutenda mema3 kuwa na huruma na upendo wa kweli havina mahusiano yoyote na dini. Ndoa hudumu kwa sababu kuna mtu kazaliwa mstahimilivu wa mapungufu ,ujinga na kero za mwenzake na sii kwa sababu ya dini
 
Nenda somalia hapo utawapata wengi bongo hapa ni mchanganyiko na kwa hapa kutenda mema3 kuwa na huruma na upendo wa kweli havina mahusiano yoyote na dini. Ndoa hudumu kwa sababu kuna mtu kazaliwa mstahimilivu wa mapungufu ,ujinga na kero za mwenzake na sii kwa sababu ya dini
kama yeye ni muislamu acha atafute muislamu mwenzake

hakuna ndoa ya mwanamke muislamu na mwanaume mkristo
 
Naona uislamu umetawala kwenye content! Ahahahaha! Gavana we abdoool landslide hiyo hapo teleza tu baba
 
Nenda somalia hapo utawapata wengi bongo hapa ni mchanganyiko na kwa hapa kutenda mema3 kuwa na huruma na upendo wa kweli havina mahusiano yoyote na dini. Ndoa hudumu kwa sababu kuna mtu kazaliwa mstahimilivu wa mapungufu ,ujinga na kero za mwenzake na sii kwa sababu ya dini
Hakuna ndoa kat ya muislam na asie kua muislam kwahiyo ni lazma afate amri ya mola wake
 
Nenda somalia hapo utawapata wengi bongo hapa ni mchanganyiko na kwa hapa kutenda mema3 kuwa na huruma na upendo wa kweli havina mahusiano yoyote na dini. Ndoa hudumu kwa sababu kuna mtu kazaliwa mstahimilivu wa mapungufu ,ujinga na kero za mwenzake na sii kwa sababu ya dini
Shida sio ndo kudumu shida ni uoe au uoelewe na wadini yako ili isilete migogoro ya kifamilia
 
Si usilimu tu , uwache ushirikina wa kuabudu kiumbe anayekunya kama wewe. Ukajichukulie kifaa
Abdoool niachane na mke wangu mzungu nije nioe utopolo huu haiwezekani.
.
Kiumbe gani huyo nayemwabudu? Yule anayetaka tusali tumeangalia uelekeo wake?
 
Back
Top Bottom