Ilitarakimura
JF-Expert Member
- Feb 7, 2016
- 2,505
- 1,645
Dalili za kukimbia mjadalawhat nonsense,bye mkuu,
Wala mchagga hatafutwi na mwanamke. Anamtongoza mwenyewee.Mchaga HAHITAJIKI
Dalili za kukimbia mjadala
kama uko serious njoo pmItakua poa sana, hapo tutaongeza mmoja tu
Eti usingekuja humu kutafuta mume bora and yet Na wewe umefungua Love connect Hivi Watu kama nyie huwa mnatokea kijiji cha Mtama kwa Nape? Why umkashifu MTU pasipo kosa.JF walifungua jukwaa hili kwa jili ya madhumuni hayo.Wewe ni nani uje kusema asingekuja humu.Na Wewe umefungua Uzi wake Ili nini.Ushauri Kama ya humu huyawezi.Anzisha bustani ya mbogamboga anza kulima UzaWewe ni mwanamke bora?
Km ungekuwa bora usingepita humu kutafuta mume bora
Akili yako sio njema kabisa
Jukwaa hili halikufai.Ujuaji mwiiingiiii kumbe NahNa ndiyo maana nimesema Mwanaume mwenye sifa ya urijali ,hata mnyama Simba hafanyi upuuzi huo kama mnyama anakata hilo itakuwaje? mwanadamu mwenye utimamu ni dhahiri kuna uwalakini na nikathubutu kusema labda kama ni kwa maslahi,yaani kuna kitu anakitafuta kutoka kwa Mwanamke huyo,na kuhusu mim kujua kama ni Baba yangu kwel hilo haulizi ukituona sisi kama ndugu,kama unafahamu familia inayofanana ndiyo siye,yaani kama unatujua na ukamuona ndugu yangu haulizii,sana sana utaulizia wewe ni ndugu yake na 'ilitarakimura' au wewe ni ukoo wa fulani, nasema kitu ambacho kipo na siyo vya kudhahania,na kingine Mama zetu/Bibi zetu wanajua kuwa huyu Mtoto si wako baada ya kuzaliwa na kumtambua mara tu wambebapo kuna vitu wanavichunguza eg vidole,ila wewe kama wewe haujui na utaambiwa ukwel huo,na ndiyo maana huwa tunapenda hao Watu wawepo kipindi cha kujifungua ili kukagua kiumbe kijacho na usaidizi kwa ujumla maana ni muhim au hata shangaz.
Linamfaa nani?Jukwaa hili halikufai.Ujuaji mwiiingiiii kumbe Nah
Achana naye Ukiuliza miaka yake 19what nonsense,bye mkuu,
Au umeguswa mkuuLinamfaa nani?
Unamkatisha tamaa mdada wa Watu as if Wewe ni muoaji kumbe mpigaji.Acha wenye uhitaji wa mke.Akishindwa si basi.We kinakuuma niniAu umeguswa mkuu
mpelekee baba mtoto wake unazazaa ovyo halafu unachagua niniAnahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,
umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.
Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki
Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
Poa nimekusoma mkuu,ila maneno yangu hayaumbi,na pia sina nia mbaya naye bali nimejaribu kuongea kutokana na uhalisia wa maisha yaliyopo kwa sasa.Unamkatisha tamaa mdada wa Watu as if Wewe ni muoaji kumbe mpigaji.Acha wenye uhitaji wa mke.Akishindwa si basi.We kinakuuma nini
Yawezekana ila ukweli ndiyo huo hauwez badilikaAchana naye Ukiuliza miaka yake 19
Tatizo hamtaki kuambiwa ukwelAchana naye Ukiuliza miaka yake 19
Kumbe uko sawa japo sijakuona, maana silaha ya kwanza ni kujiamini na wewe yaonekana unajiamini!, usifunge pm yako utachoka mwenyewe kusoma na kujibu pm za vidume wa jf japo barazani tunaponda lakini tukija huko boxini tunamwaga sera za kufa mtu.Figure no 8 bila ubishi na mguu wa bia
Na ndiyo maana nimesema Mwanaume mwenye sifa ya urijali ,hata mnyama Simba hafanyi upuuzi huo kama mnyama anakata hilo itakuwaje? mwanadamu mwenye utimamu ni dhahiri kuna uwalakini na nikathubutu kusema labda kama ni kwa maslahi,yaani kuna kitu anakitafuta kutoka kwa Mwanamke huyo,na kuhusu mim kujua kama ni Baba yangu kwel hilo haulizi ukituona sisi kama ndugu,kama unafahamu familia inayofanana ndiyo siye,yaani kama unatujua na ukamuona ndugu yangu haulizii,sana sana utaulizia wewe ni ndugu yake na 'ilitarakimura' au wewe ni ukoo wa fulani, nasema kitu ambacho kipo na siyo vya kudhahania,na kingine Mama zetu/Bibi zetu wanajua kuwa huyu Mtoto si wako baada ya kuzaliwa na kumtambua mara tu wambebapo kuna vitu wanavichunguza eg vidole,ila wewe kama wewe haujui na utaambiwa ukwel huo,na ndiyo maana huwa tunapenda hao Watu wawepo kipindi cha kujifungua ili kukagua kiumbe kijacho na usaidizi kwa ujumla maana ni muhim au hata shangaz.