Mume mwenye sifa hizi anahitajika

Kabila limenicha solemba
Upo tayar kuwa mke wa pili pia
 

Mbona sifa zako ni chache sana ukilinganisha na za Mwanaume unaye mtafuta?
 
Unatakiwa ulipie na gharama za tangazo
 
Kwani mwenye hiyo mimba and/or mtoto kashakufa?
 
Najiuliza tu kimyakimya aliyekupa hyo mimba hana vigezo hv? Na kama hana ulimkubalia vp
 
Najiuliza tu kimyakimya aliyekupa hyo mimba hana vigezo hv? Na kama hana ulimkubalia vp
Hahahaha hapo ndo kuna utata mtu mwenye mimba kutafuta mume wa kumuoa.

Utashangaa anadai na harusi ya gharama kubwa wakati keshakuwa second hand!
 
Jua la utosi hill afu masharti magumu kama ya kuomba kazi TISS.
Endelea kunsubir
 
Mcha Mungu una mimba haina baba?
 
Hahahaha hapo ndo kuna utata mtu mwenye mimba kutafuta mume wa kumuoa.

Utashangaa anadai na harusi ya gharama kubwa wakati keshakuwa second hand!
Aamnaga ha second hand , we mwenyew utakua used tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…