YesAnataka mcha Mungu lakini asiwe mlokole [emoji34] [emoji34] [emoji34] .
Kua kwanzahapo kwenye umri ndipo mnapokoseaga.. haya wasubirini zilipendwa wenu. cc vjana nao tuna mapenz ya kweli sio wote ni kizaz cha nyoka..[emoji48][emoji48][emoji48]
Kwaiyo nivamie tuUtasubiri saana mwanaume atafutwi kwa vigezo
WordKama huwezi wewe wengine wanaweza
Mbona nimeona mwingine ana 1 year kid.Anahitaji kama yy??
Acha kukatisha tamaa Watu.
Who knows akapata?
Kawa wewe huwezi ni wewe
Am 26Umri wako bado ni btn 21-24.... Ngoja umri ugonge from 25ff tuone kama hizi sifa za mwanaume unayemtaka kwasasa utaziorodhesha tena.....!!!
Ha ha ha sioI bet huyo mzazi mwenzako aliyekwepa majukumu ni Mchaga
Atachepuka mara ngapi? ilhali kaishachepuka mpaka na Mimba juuSimdanganyi,sitaki achepuke,ndoa ni kumpata mnayeshibana,sio cheti.kama hatampata wa kumuoa,yote heri.
HapanaHuyu atakua na stress za kuachwa na kibendi
Am serious 100%Hahahahh kwa majibu unayoyatoa humu inaonekana haupo serious
Ndio ivoina maana mimba imekataliwa.
ungeweka kigezo cha kukubali mimba kwanza
Mcha Mungu ni mgawa papuchi?Kupata mimba nje ya ndoa haimaanishi si mcha mungu
NawezaIla dada'ngu naona kama umepanic hivi,kwa nini usitulie tu ukajifungua,ukuze mtoto mpaka umri fulani hivi ndo uanze tena kuhangaika na wanaume!!Sisi wanaume tupo tu!!Au huwezi kuishi bila ile kitu kwa muda mrefu?!
Njoo p.mAnahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,
umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.
Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki
Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
Atachepuka mara ngapi? ilhali kaishachepuka mpaka na Mimba juu
Figure no 8 bila ubishi na mguu wa biaSijasikia mtu kaulizia kama Wakuswampa ana chura!!Labda tuanzie hapo kwanza!Jibu plz
Kaishaharibu asubiri tu huruma ya wagumba lakini rijal sijui labda awe Mme jina,yaani awe tayari kutawaliwa.hakuwa kwenye commtited relationship,sasa unataka azoe tu mtu waoane kwa vile tayari ana ujauzito?mmmnh
AyaImenibidi nikasome upya post zako zote ,,,
Mara nyingi ulikua unatumia *Rafiki yangu* ila kiukweli ulikua niwewe mwenyewe.
Jamaaa alokupa ujauzito mmeshindwana sababu alikua hana pesa yakutoa mahali nambaya said hakua anaonyesha interest naww.
Kilichonishtua nihiki,, Bila shaka alokupa mimba anaakli timamu kabisaaa na nimsomi ,,swali langu nihil,,,
Ilikuaje jamaaa licha yakwamba anajua unakazi ,anajua umempita kipato Lkn bado Akaachana nawewe ???? How come wakat mmedumu kwa miaka zaidi ya Tisa ???
Kiukweli kuna tatizo lipo upande wako tena tatizo kubwa ,,unapaswa kulichunguza sana ,,vinginevyo utapata wakukupiga tuuu lkn sio mme.
Embu kwanza anza kujitathimin kisha ndo uone km nisahihi kufanya ivi...... Jifanyie kazi zako...tengeneza pesaa zaidi ,,, tunza mtoto ,,mwanamme atakuja sio mpaka utoe matangazo....humu utapata wanaotafuta urahisi Wa maisha.
Am seriousWatu kama nyie mnaoweka matangazo ya uongo ndio mnawaharibia wale walio serious