Mume mwenye sifa hizi anahitajika

Mume mwenye sifa hizi anahitajika

Umri wako bado ni btn 21-24.... Ngoja umri ugonge from 25ff tuone kama hizi sifa za mwanaume unayemtaka kwasasa utaziorodhesha tena.....!!!
 
Yaani dada umebeba ujauzito wa mtu halafu unatafuta mwanaume wa kumtwisha mzigo. Ukimpata mwanaume kwa hivyo vigezo hapo ujue umepata zuzu. Mwanaume anayejitambua hawezi vutiwa na chochote ulichoorodhesha hapo wakati wako wanawake simple waelewa tena fresh kuliko wewe.
Kama huwezi wewe wengine wanaweza
Mbona nimeona mwingine ana 1 year kid.Anahitaji kama yy??
Acha kukatisha tamaa Watu.
Who knows akapata?
Kawa wewe huwezi ni wewe
 
Anahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,

umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.

Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki

Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa
Utasubiri saana mwanaume atafutwi kwa vigezo
 
hapo kwenye umri ndipo mnapokoseaga.. haya wasubirini zilipendwa wenu. cc vjana nao tuna mapenz ya kweli sio wote ni kizaz cha nyoka..[emoji48][emoji48][emoji48]
 
Anataka mcha Mungu lakini asiwe mlokole [emoji34] [emoji34] [emoji34] .
 
Huyo alikutwisha huo mzigo keanini asikuoe?umenidhangaza kusema unataka mkristo lakini asiwe mlokole,sijui mlokole unamuogopea nini labda!
 
Anahitajika mwanaume aliye tayari kuwa mume mzuri,

umri kuanzia miaka 30,
Anayejitambua na mwenye hekima, akili na reasoning ya kutosha.
Awe mkristo, ila asiwe mlokole,
Awe na upendo wa kweli,
Asiwe mnene sana,
Asiwe mfupi sana,
Awe na elimu kuanzia degree na kuendelea,
Awe mfanya kazi au Mjasiliamali.
Awe tayari ku adopt mtoto nitakaye mzaa muda si mrefu.

Sifa za muombaji
Msichana , Black beauty natural
Urefu 155cm
elimu , degree ya kwanza
Muajiriwa wa taasisi moja mjini Dsm
Mcha Mungu
Mkatoliki

Mwenye sifa hizo aje PM, Mwanaume mweupe sana haitajiki, pia mchaga hatakiwi, wengine woote karibuni. napokea application hapa

Dada angu subiri ujifungue kwanza jamani,kwani una haraka gani?[emoji53][emoji53][emoji53]
 
Mcha Mungu ilhali umepata mimba nje ya ndoa!,hakika kumpata Mume kwa vigezo hivyo utasubiri saana labda ubadili mbinu ya ushambuliaji
 
Kijana naona umesahau ule usemi "Mso hili ana lile"[emoji38] [emoji23] [emoji23]
Kazi kweli kweli, kwa sifa hizo bora uzae wako[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
wala usipunguze vigezo,

wengi tunakosea hapo,

unachukua mtu sababu tu yuko available,sio kwa vile anakidhi vigezo vyako,

mnachukuana,afu baadae mnaanza kuchepuka kupata vingine nje.
 
Back
Top Bottom