Mume/ mwenza mkristo 35 - 45

Vyote nimefuzu ila shida ni "Dear Gambe"[emoji24][emoji24]
 
Njoo PM
 
Ufafanunuzi kuhusu umri wako ni muhim sana itakusaidia kuepusha usumbufu mrembo
 
kama wewe hauna kazi au biashara inayokuingizia kipato alafu unahitaji mume mwenye biashara au vyanzo vya kipato, usitegemee utapendwa.

Sasa wewe huna hela utamwambia nini? atakumega na akichoka anaenda kula wengine utafanya nini? kumfukuza huwezi maana nyumba ni yake, pesa zake, inshort ndio maana ndoa nyingi zinavunjika.

Msikubali mfike hadi ndoa ukiwa unategemea huyo mpenzi wako lasivyo jiandae tu kwa matukio.

Na kwetu wanaume hivo hivo hatuwezi tegemea mwanamke ndio maana ndoa ambazo mke ni tajiri zaidi, mume kama sio mbabe lazima anyanyasike ....
 
Yaani hadi nifikishe miaka 35 nitakuwa napishana tu na warembo.
 
Hapo kwenye hiyo 27-35 kwa nini usiweke umri halisi ili upate watu halisi zaidi kwako huko PM ?
 
Kama uko tayari kuwa mke wa pili karibu sana. Mimi ni mume mwema kwa ajili yako. Sifa zote unazozitaka ninazo.
 
Unatumia jina feki afu unaogopa kutaja umri wako sahihi!

Umesema u-mwaminifu, je una bikra!
 
Vigezo sinaaa wacha nisubiri wa size yangu[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…