Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Peter Nwachukwu,aliyekuwa Mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili wa Nigeria aliyefariki mwezi Aprili mjini Abuja amekana mashtaka yote yanayohusiana na kifo chake na madai ya unyanyasaji katika ndoa yao
Kifo cha Osinachi Nwachukwu kilizua ghadhabu baada ya familia yake kudai kuwa alikuwa mhasiriwa wa unyanyasaji wa nyumbani.
Peter anakabiliwa na mashtaka 23 kwa jumla baadhi yao yanahusiana na unyanyasaji wa nyumbani, ikiwa ni pamoja na unyanyasaji wa kihisia, matusi na kisaikolojia, pamoja na kuua bila kukusudia - kosa ambalo linaweza kuadhibiwa kwa hukumu ya kifo.
................................................
Osinachi Nwachukwu's death sparked outrage after her family alleged she was a domestic abuse victim.
She sang in the 2017 hit gospel song Ekwueme, which has 77 million YouTube views.
Peter Nwachukwu faces 23 charges in total.
Some of them relate to domestic violence, including emotional, verbal and psychological abuse, as well as culpable homicide - an offence that can be punished with the death penalty.
The high court in Abuja ordered that Mr Nwachukwu be remanded in prison.
He has been in detention while the police have been investigating the cause of her death.
Initial reports said the 42-year old music star had been sick with throat cancer, but her family denied it.
Many Nigerians, especially Christians, reacted with sorrow and anger to the news of her death.
Some went online to urge religious leaders not to advise church members to stay in abusive relationships.
The pastor at the church where she was the lead singer, Paul Enenche of Dunamis International Gospel Centre, said as a faith group they had no tolerance of domestic abuse and that he did not know she was an alleged abuse victim.
The late star left behind four children.
Source: BBC