Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Mume wa Malkia wa Mipasho Khadija Kopa ambaye pia ni diwani wa Kata ya Mogomeni Bagamoyo kupitia CCM Jaffar Ali Yusuf amefaiki dunia mapema asubuhi ya leo katika Hospitali ya Lugalo.
Kwa mujibu wa baadhi ya ndugu wa marehemu wamesema ndugu yao huyo alikuwa anaumwa kwa muda mrufu na alianza kuumwa siku chache baada ya kushinda kiti cha udiwa ni katika kata hiyo. Hata hivyo ndugu hao hawakuwa tayari kusema aina ya ugonjwa uliokuwa unamkabili ndugu yao huyo.
Ikumbuke kuwa Bwana Jaffar Ali Yusuf alichaguliwa kuwa diwani wa kata ya Magomeni miezi michache iliyopita baada ya diwani wa alikuwa anaogoza kata hiyo kupitia CCM Abdalah Mshindo kufariki dunia mwaka jana.
Habari kamili zitakuja kadri tutakapo zipokea
..........................................................UPDATE .................................................................
Marehemu alikuwa anasumbuliwa na matatizo katika mfumo wa upumuaji na mpaka mauti yanamfika alikuwa amelazwa katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN.
More update
Msiba wake umetawaliwa sana na mambo ya ushirikina kwani, hata kwenye kaburi lake wamekuta chungu kilichofukiwa ambacho haikujulikana mapema nani alikiweka, Hata hivyo baada ya sala ilibidi mwili wa marehemu uzikwe.
Enzi za uhai wa Mrehmu hapa akiwa na Mkewe Bi Khadija Omar Kopa
Kwa mujibu wa baadhi ya ndugu wa marehemu wamesema ndugu yao huyo alikuwa anaumwa kwa muda mrufu na alianza kuumwa siku chache baada ya kushinda kiti cha udiwa ni katika kata hiyo. Hata hivyo ndugu hao hawakuwa tayari kusema aina ya ugonjwa uliokuwa unamkabili ndugu yao huyo.
Ikumbuke kuwa Bwana Jaffar Ali Yusuf alichaguliwa kuwa diwani wa kata ya Magomeni miezi michache iliyopita baada ya diwani wa alikuwa anaogoza kata hiyo kupitia CCM Abdalah Mshindo kufariki dunia mwaka jana.
Habari kamili zitakuja kadri tutakapo zipokea
..........................................................UPDATE .................................................................
Marehemu alikuwa anasumbuliwa na matatizo katika mfumo wa upumuaji na mpaka mauti yanamfika alikuwa amelazwa katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN.
More update
Msiba wake umetawaliwa sana na mambo ya ushirikina kwani, hata kwenye kaburi lake wamekuta chungu kilichofukiwa ambacho haikujulikana mapema nani alikiweka, Hata hivyo baada ya sala ilibidi mwili wa marehemu uzikwe.
Enzi za uhai wa Mrehmu hapa akiwa na Mkewe Bi Khadija Omar Kopa
