Mume wa kunistiri uko wapi jamani?

[emoji664]
 

NIMEPENDA LAST PARAGRAPHY, 95% IS ENOUGH SANA, MANA TUNAPATA BETWEEN 23 - 48%
 
Ifike hatua muwe wakweli bhana sio kukosoa tu kila kitu,hv nani alioa bila kuwa na vigezo vyake?ingekuwa hivyo mbona wasiooa na kuolewa wasingekuwepo.Ktk suala la ndoa vigezo havikwepeki hivyo kufanikiwa kuvipata vyote ndio huwa mtihani.Dadaangu vuta subra utampata tu utakayemridhia muda ukifika,Kila la kheri.
 
Katika watafuta wenza, wewe umeandika unamaanisha. Kauli ya mtu ndiyo hujenga taswira ya anachokiongelea.
Una busara na kichwa kimekaa 'njema', barua nimeipenda na kukupenda mwandishi pia.
Umelelewa na kufundwa vyema, wafaa kuwa mke.
Siongei kwa niaba ya nafsi yangu, hapana kwa kuwa "season" hiyo kwangu ilikwisha pita miaka takribani 30 iliyopita.
Kwenye mada inayozungumzia jambo la kheri kama hili, wenye busara lazima tutupiemo kitu cha kusindikizia.
Sema tu kwa kuwa dunia inalazimisha mpangilio wa nyakati, hapo ndipo lilipo tatizo na ni lazima tukubaliane kwa kuheshimu mpangilio huo, vinginevyo hapa mimi ningehusika mojs kwa moja isee!
Ningeliku-pm na kutangaza nia bila hata kuchunguza jambo jengine lolote, maana ninachokitafuta kwa mwanamke wa maisha, wewe tayari unacho, busara na hekima!
Nikutakie kila la kheri na M/Mungu akupe wepesi wa kupata mtu sahihi kutokana na sala yako uliyoihariri hapa jf.
 
Niko hapa...
Ngoja nichangamkie hiyo fursa maana mimi mara zote huwa ni mtoa msaada kwenye tuta pale mnapokwama.
Mkuu billionea, unafahamu usahihi wa matumizi ya neno "tuta" hasa kwa viswahili vitarafa vya humu jf?
Hapo ni kwamba unaongelea msamiati wa kushikilizia watu miguu, jambo ambalo wewe natumaini haumaanishi!
 
Amiin
Ahsante Sana
 
Dah dini hizi,hili jiko liko vizuri sana lakini mimi sio Islamic
 
Mim ngongoti mguu wa kati na napenda utam balaa yaan namaanisha balaa

Alaf pia mweusiiiiiiiijjj
Vip naweza kufaulu mtihan wake uyu mwanamke?
 
mimi black je uko tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…