Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji664]Wazima humu
Natafuta mtu wa kunisitiri maana naona hali yangu c hali tena na swala la kuzini silihitaji kabisaaa masikioni mwangu
Najikuta napoteza watu wengi ambao wananihitaji kimapenz Ila wengi hawamuogop Mungu wameendekeza zinaa hvy nikiweka msimamo bac mtu anapotea lakini cjali naamini yupo mwenye hofu na Mungu na akanisitir
Hvy bac ww ambaye unahc unauhitaji wa mke ikiwezekan hata ndani ya mwaka huu huu bac hii ndo fursa yako na hakika hutajutia kunijua wala kunioa
Akiwa muislam itapendeza zaid
Akiwa msomi Sawa pia hata kama hana kazi haina shida mali zinatafutwa ila awe amesoma maana mm elim yangu mm ni ya kawaida tu
Andunje hapana jamn mnisamehe maana me pia anduje sasa tukitaka kufuta vumbi kwenye feni itakuaje hapo
Awe tayar kubadilika na kuishi kwa kumtegemea Mwenyez Mungu kwa kila kitu na sio binaadam mwenzake (shirki is not allowed)
Akiwa mpole kwangu nitashkr sana ila ajue tu yeye ndo baba hvy inafikia kipind atatakiwa upole ubakie kwangu ila kwa watoto natamani awe mkali zaid maana mm hadi najionea huruma siwez kuongea kwa ukali
Asiwe black saanaaa wala mweupeeee saaana angalau maji ya kunde
Awe tayar kuishi na mm bila kuninyanyasa maana sina kibarua Ila napenda ujasiriamali so akiniwezesha atafutarah maan biashara kwangu ni bora kuliko kuajiriwa
Ila nikibak nyumbani napenda zaid maana nitakuwa na uhakika wa kumtimizia mume wangu nahitaji yake kwa muda unaotakiwa angalau hata 95%
Karibuni PM mwenye nia tu
Wazima humu
Natafuta mtu wa kunisitiri maana naona hali yangu c hali tena na swala la kuzini silihitaji kabisaaa masikioni mwangu
Najikuta napoteza watu wengi ambao wananihitaji kimapenz Ila wengi hawamuogop Mungu wameendekeza zinaa hvy nikiweka msimamo bac mtu anapotea lakini cjali naamini yupo mwenye hofu na Mungu na akanisitir
Hvy bac ww ambaye unahc unauhitaji wa mke ikiwezekan hata ndani ya mwaka huu huu bac hii ndo fursa yako na hakika hutajutia kunijua wala kunioa
Akiwa muislam itapendeza zaid
Akiwa msomi Sawa pia hata kama hana kazi haina shida mali zinatafutwa ila awe amesoma maana mm elim yangu mm ni ya kawaida tu
Andunje hapana jamn mnisamehe maana me pia anduje sasa tukitaka kufuta vumbi kwenye feni itakuaje hapo
Awe tayar kubadilika na kuishi kwa kumtegemea Mwenyez Mungu kwa kila kitu na sio binaadam mwenzake (shirki is not allowed)
Akiwa mpole kwangu nitashkr sana ila ajue tu yeye ndo baba hvy inafikia kipind atatakiwa upole ubakie kwangu ila kwa watoto natamani awe mkali zaid maana mm hadi najionea huruma siwez kuongea kwa ukali
Asiwe black saanaaa wala mweupeeee saaana angalau maji ya kunde
Awe tayar kuishi na mm bila kuninyanyasa maana sina kibarua Ila napenda ujasiriamali so akiniwezesha atafutarah maan biashara kwangu ni bora kuliko kuajiriwa
Ila nikibak nyumbani napenda zaid maana nitakuwa na uhakika wa kumtimizia mume wangu nahitaji yake kwa muda unaotakiwa angalau hata 95%
Karibuni PM mwenye nia tu
Ifike hatua muwe wakweli bhana sio kukosoa tu kila kitu,hv nani alioa bila kuwa na vigezo vyake?ingekuwa hivyo mbona wasiooa na kuolewa wasingekuwepo.Ktk suala la ndoa vigezo havikwepeki hivyo kufanikiwa kuvipata vyote ndio huwa mtihani.Dadaangu vuta subra utampata tu utakayemridhia muda ukifika,Kila la kheri.Tathimini upia vigezo vyako unamkufuru Mungu kwani havikubaliki unataka mchamungu huku unakufuru Mungu kaumba warefu na wafupi wanene na wembamba weusi weupe na katika kuoa au kuolewa vigezo kwa wachamungu ni Mchamungu, Mali ,Uzuri na familia ya anakotoka mchumba
Mkuu billionea, unafahamu usahihi wa matumizi ya neno "tuta" hasa kwa viswahili vitarafa vya humu jf?Niko hapa...
Ngoja nichangamkie hiyo fursa maana mimi mara zote huwa ni mtoa msaada kwenye tuta pale mnapokwama.
AmiinKatika watafuta wenza, wewe umeandika unamaanisha. Kauli ya mtu ndiyo hujenga taswira ya anachokiongelea.
Una busara na kichwa kimekaa 'njema', barua nimeipenda na kukupenda mwandishi pia.
Umelelewa na kufundwa vyema, wafaa kuwa mke.
Siongei kwa niaba ya nafsi yangu, hapana kwa kuwa "season" hiyo kwangu ilikwisha pita miaka takribani 30 iliyopita.
Kwenye mada inayozungumzia jambo la kheri kama hili, wenye busara lazima tutupiemo kitu cha kusindikizia.
Sema tu kwa kuwa dunia inalazimisha mpangilio wa nyakati, hapo ndipo lilipo tatizo na ni lazima tukubaliane kwa kuheshimu mpangilio huo, vinginevyo hapa mimi ningehusika mojs kwa moja isee!
Ningeliku-pm na kutangaza nia bila hata kuchunguza jambo jengine lolote, maana ninachokitafuta kwa mwanamke wa maisha, wewe tayari unacho, busara na hekima!
Nikutakie kila la kheri na M/Mungu akupe wepesi wa kupata mtu sahihi kutokana na sala yako uliyoihariri hapa jf.
Mim ngongoti mguu wa kati na napenda utam balaa yaan namaanisha balaaKwa sifa ulizozitaja sijapata tabu kujua wewe ni mtu wa aina gani. Nenda kwenye msikiti wa karibu na wewe, jielezee 'shida' yako na utasaidiwa.
Kupata mtu wa aina hiyo asiyezini katika dunia ya leo tena 'mtandaoni' yataka "imani".
Nisingekuwa andunje ningejitosa kukusitiri kiumbe cha allah[emoji16][emoji16], ngoja tuendelee kuwasubiri ngongoti.
mimi black je uko tayariWazima humu
Natafuta mtu wa kunisitiri maana naona hali yangu c hali tena na swala la kuzini silihitaji kabisaaa masikioni mwangu
Najikuta napoteza watu wengi ambao wananihitaji kimapenz Ila wengi hawamuogop Mungu wameendekeza zinaa hvy nikiweka msimamo bac mtu anapotea lakini cjali naamini yupo mwenye hofu na Mungu na akanisitir
Hvy bac ww ambaye unahc unauhitaji wa mke ikiwezekan hata ndani ya mwaka huu huu bac hii ndo fursa yako na hakika hutajutia kunijua wala kunioa
Akiwa muislam itapendeza zaid
Akiwa msomi Sawa pia hata kama hana kazi haina shida mali zinatafutwa ila awe amesoma maana mm elim yangu mm ni ya kawaida tu
Andunje hapana jamn mnisamehe maana me pia anduje sasa tukitaka kufuta vumbi kwenye feni itakuaje hapo
Awe tayar kubadilika na kuishi kwa kumtegemea Mwenyez Mungu kwa kila kitu na sio binaadam mwenzake (shirki is not allowed)
Akiwa mpole kwangu nitashkr sana ila ajue tu yeye ndo baba hvy inafikia kipind atatakiwa upole ubakie kwangu ila kwa watoto natamani awe mkali zaid maana mm hadi najionea huruma siwez kuongea kwa ukali
Asiwe black saanaaa wala mweupeeee saaana angalau maji ya kunde
Awe tayar kuishi na mm bila kuninyanyasa maana sina kibarua Ila napenda ujasiriamali so akiniwezesha atafutarah maan biashara kwangu ni bora kuliko kuajiriwa
Ila nikibak nyumbani napenda zaid maana nitakuwa na uhakika wa kumtimizia mume wangu nahitaji yake kwa muda unaotakiwa angalau hata 95%
Karibuni PM mwenye nia tu
Kama una pesa jitoseDhuuu kina andunje hatuna
Bahat kabsa
Hapo nazuiwa na vipengele vi3
Din
Andunje
Masomo