ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Alafu sifa zote unazo unafaa sanaNipigie promo basi jamani....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu sifa zote unazo unafaa sanaNipigie promo basi jamani....
Hahahahahha daah pale mkolomije anapogeuka kua mzaramo sio kwa maneno hayoewaaaa unavonipenda kaka ako najua hutakosea kunitafutia nke roho yangu inapenda.
ntakuja pm nikupe vivumishi vya wifiyo.
Ivi sifa ya Andunje inanifaa kweli?Alafu sifa zote unazo unafaa sana
Hahahahahha daah pale mkolomije anapogeuka kua mzaramo sio kwa maneno hayo
Vivumishi navijua kaka usipate shida
Hapana haikufai rafiki yanguIvi sifa ya Andunje inanifaa kweli?
Wazima humu
Natafuta mtu wa kunisitiri maana naona hali yangu c hali tena na swala la kuzini silihitaji kabisaaa masikioni mwangu
Najikuta napoteza watu wengi ambao wananihitaji kimapenz Ila wengi hawamuogop Mungu wameendekeza zinaa hvy nikiweka msimamo bac mtu anapotea lakini cjali naamini yupo mwenye hofu na Mungu na akanisitir
Hvy bac ww ambaye unahc unauhitaji wa mke ikiwezekan hata ndani ya mwaka huu huu bac hii ndo fursa yako na hakika hutajutia kunijua wala kunioa
Akiwa muislam itapendeza zaid
Akiwa msomi Sawa pia hata kama hana kazi haina shida mali zinatafutwa ila awe amesoma maana mm elim yangu mm ni ya kawaida tu
Andunje hapana jamn mnisamehe maana me pia anduje sasa tukitaka kufuta vumbi kwenye feni itakuaje hapo
Awe tayar kubadilika na kuishi kwa kumtegemea Mwenyez Mungu kwa kila kitu na sio binaadam mwenzake (shirki is not allowed)
Akiwa mpole kwangu nitashkr sana ila ajue tu yeye ndo baba hvy inafikia kipind atatakiwa upole ubakie kwangu ila kwa watoto natamani awe mkali zaid maana mm hadi najionea huruma siwez kuongea kwa ukali
Asiwe black saanaaa wala mweupeeee saaana angalau maji ya kunde
Awe tayar kuishi na mm bila kuninyanyasa maana sina kibarua Ila napenda ujasiriamali so akiniwezesha atafutarah maan biashara kwangu ni bora kuliko kuajiriwa
Ila nikibak nyumbani napenda zaid maana nitakuwa na uhakika wa kumtimizia mume wangu nahitaji yake kwa muda unaotakiwa angalau hata 95%
Karibuni PM mwenye nia tu
Mmmhhh, ndio siqualify tena eehh!?Hapana haikufai rafiki yangu
Jaribu bahati yako nduguMmmhhh, ndio siqualify tena eehh!?
Kikwazo ni U-Andunje mkuuJaribu bahati yako ndugu
Unakwalifai rafiki wewe sio hata andunjeMmmhhh, ndio siqualify tena eehh!?
Sidhani ikiwa tu nia ya dhati ipo lknKikwazo ni U-Andunje mkuu
Ahaaa.Unakwalifai rafiki wewe sio hata andunje
Kumbe unamjua? anajidiskolifai eenh!Unakwalifai rafiki wewe sio hata andunje
Ngoja nichekeche hii CV ikae sawa kwanzaSidhani ikiwa tu nia ya dhati ipo lkn
Utatuletea mrejeshoNgoja nichekeche hii CV ikae sawa kwanza
Hilo ni jambo la muhimu mkuuUtatuletea mrejesho