Mume wa kunistiri uko wapi jamani?

ewaaaa unavonipenda kaka ako najua hutakosea kunitafutia nke roho yangu inapenda.

ntakuja pm nikupe vivumishi vya wifiyo.
Hahahahahha daah pale mkolomije anapogeuka kua mzaramo sio kwa maneno hayo

Vivumishi navijua kaka usipate shida
 
Yaani ulichofanya hapa ni sawa na umepaki Noah kituoni Gongo la Mboto alafu unasema unataka wapakie tu Watoto wa Dangote, Bakhresa, Mengi, Manji, Mo Dewji au wa kaliba hiyo.

Unaweza ukabahatisha abiria mmoja, alafu ukija kumshtukia huko mbele atakwambia "mimi sikujua kama ulitaja Mengi, mimi nilidhani ulisema Mangi, maana mimi baba yangu Mangi mwenye duka pale kitaani"

Ingawa hata Mengi naye ni Mangi.
 
Hahahahahha daah pale mkolomije anapogeuka kua mzaramo sio kwa maneno hayo

Vivumishi navijua kaka usipate shida

hahaha mbona sasa unafanya mambo yawe magumu dada, andunje, mlokole na mkolomije tena?! tafadhali buana
 
Sintakuja shangaa ukipata mume humu
Ndoa ni bahati nasibu wapo waliokutana kwenye bus na mwisho wakaja kuwa na maisha murua kabisa ya ndoa
Nakuombea kila la kheri
 

Ni. Pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…