Mume wa kunistiri uko wapi jamani?

Sifa zote ninazo ila ni mlevi balaa,kugeuza usiku kuwa mchana kwangu ni swala la kawaida, at the last but not the least, je una chura!!!!?
 


Unajipoteze muda bure. Mwenyezi Mungu kakupa hicho ulichanacho ugawe nawe ugawiwe na kufurahishana. Mwanamme hawezi kukuoa tu kwa kuwa wewe ni mwanamke, inabidi aku-sample kwanza....akiridhika ndipo anatoa uamuzi toka moyoni. Yanini kuoa mwanamke godoro? Yaani mchezo hujuwi kazi kulala tu, hauna maujanja wala nini na una miaka zaidi ya 25. Hatusemi uwe mgawaji kama Wema Sepetu ama mademu wa mjini wasiojitambua, lahasha....unatoa pale unapo ona wakati umefika wa kukunwa si kwa kila anayekuonyesha hela kwani wengine wana magonjwa ya maabukizi tu. Umeshawahi kununua gari bila ku test drive kwanza? Jibu ndilo hilo.....toa upewe.
 

Nimeshindwa kuja pm sina app ya jf. Ila nipo serious. Nifuate pm na namba zako tuwasiliane zaidi.
 
Kila la kheri Mungu akutimizie hitaji la moyo wako.
 
Umelipia tangazo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…