jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
huyo msomali alikuwa na biashara gani iliyofungiwa??Akae huko huko na msomali wake.
Hatutaki ujinga, Tanzania ni nchi ya amani na kamwe haitovugwa na kunguni yeyote yule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo msomali alikuwa na biashara gani iliyofungiwa??Akae huko huko na msomali wake.
Hatutaki ujinga, Tanzania ni nchi ya amani na kamwe haitovugwa na kunguni yeyote yule.
Alikuwa ana biashara gani huyo jamaa?Hana cha uwanaharakati wowote kumbe Biashara ya mume wake ilipigwa pini na Mwamba Magufuli
Ni swali muhimu sana hili...Maana mke kahamishia chuki ya kufungiwa biashara kuwa ni chuki ya kitaifa kwa mwamvuli wa uhanaharakati.Alikuwa ana biashara gani huyo jamaa?
Natumia 0.000009% natunza za keshoTumia 1% ya akili zako.
We nae na komwe lako una hakika ni watu wa serikali?
Sampuli ya anayejiita Nyani NgabuHakuna mwanaume kalegea kama mlenda wa Ugogoni
Nanye kwa lugha fulani ni kinyesi,Mbona Team Lisu walisema ni Mbowe ndiye alimteka, sasa tuamini lipi?
🖕Sampuli ya anayejiita Nyani Ngabu
Utakuwa na matatizo ya akiliMbona Team Lisu walisema ni Mbowe ndiye alimteka, sasa tuamini lipi?
Kijana haeleweki, kalegea kama mlenda na urojo. Biskuti tu anatataka alowekewe kwenye chai ili aile vizuri, unafikiri yuko salama huyu? Na hivi anavyoteka watu, wananchi wanamuombea mabaya azidi kuharibikiwa zaidi wajilie tu huko mbeleni.kumbe abdul ni biriani😁😁😁😁
Vipi unaninyooshea kidole?Haha wewe .