Mume wa Maunda Zoro ni mfano wa Wanaume wa hovyo wa Dar es Salaam

Mume wa Maunda Zoro ni mfano wa Wanaume wa hovyo wa Dar es Salaam

Tatizo watu wanadhan tunakaa kwenye ndoa kisa tunapenda ,mm mfano mashemeji zangu wamenipa connection mingi ni washkaji zangu kabisa ,wakwe wamenikatia hadi shamba kwa jina langu ,watoto wangu wanaishi nao (wao pia wanajua hii mke kimeo) xmas huwa wanaenda kula kwa wazaz wangu na kwao wamejaza mapicha yetu ya ndoa na wazazi wangu ,hata nimkate kofi mama yangu huyu hapa vya kusuruhisha ,janamke levi lishaliwa na kila mshikaj wangu ,ila tuna smart kids 4 na dna zote

zangu(nilikuwa nataman azae nje nipate sababu) NDOA ZINA WATU WAKE
duuuu hizi ndoa hizi jamani
 
In the first place ndio alitakiwa awe wa kwanza kufika eneo la tukio.. Wanawake siku hizi wanabeba mzigo mkubwa rohoni kisa kulinda ndoa.. Wengi wanaishi kwa mateso ya kukosa mapenzi ya kweli lakini hawana jjnsi wanaogopa kuachika
Aisee!
 
Maunda alitoka msibani..

Lakini baadae akapitia sehemu, umeiona ile video ya alivyovaa huko alipopitia.? Kavaa kigauni kifupi kapiga make up huku kakumbatiana na mwanaume anaimba na anaonekana alilewa..

Ukiiona hiyo video utapata majibu mengi sana..

Maana yake alibadilisha nguo alibadilishia wapi.? Alipakia make up wapi.?

Unaniacha nyumbani na watoto unaaga unaenda msibani, unapitia sehemu kulewa ukiwa na mwanaume, unarudi saa 4 ..

Wanaume tunapitia mengi sana..
Ooohooo!
Makubwa haya!
 
Hata mi nimesiliza hiyo interview sikuelewa. Banana anasema marehemu kapata ajali 10 minutes drive from her home. Meaning ni jirani kiasi.

Then mume anasema alipigiwa simu then naye akampigia RTO. Mara akaambiwa tulia usitoke. Na yeye akapumzika mpaka sa 12 asbh Banana alivyokuja.

Najiuliza, unawezaje kuwa na ujasiri wa kupumzika wakati hujui hatma ya mkeo huko alipo na umeshaambiwa kapata ajali mbaya? Simjudge ila nahisi something is not right
There is a dead rat somewhere!
 
Watu mnaokujaga na maconclusion huwa,nawashangaa sana. Hivi hamuoni kwamba hakukuwa na ndoa hapo! Na ni wazi jamaa alichoka tabia za mkewe. Anaonekana alikuwa mtu wa kujiachia sana
Hapa ndoa ya mwezi wa saba ilikuwepo kweli?
 
Alipigiwa sim mkewe kapata ajali! Swali mke gan wakat hawajafunga ndoa? Au kuna uhalali wa kuwa na mke bila ya ndoa?
 
Aisee hizi lawama

Huyo jamaa ni medical officer by proffession ?

Issue kama hii ikitokea jambo la kwanza ni kutoku-panic..., hivyo huenda (sijui) alipokuwa na alichofanya kilikuwa effective zaidi (kupigia watu simu na kufanya coordination za hapa na pale (sio unakimbia na kufika pale mikono mitupu bila kujua cha kufanya (in such a situation you need a stable head without panicking), Unaweza ukawa mzigo badala ya msaada...

Au unadhani kwanini sometimes watu wa karibu wanazuiwa kwenda directly kwenye incidence ? Unaweza kuzika watu wawili...

Kumbuka siongelei hii issue specifically (siwajui) ila naongelea kwamba issues are not always black or white
 
Mwanamke malaya ukimpenda mkaoana na akazaa kumuacha inakuwa kazi .ila kila anavyocheat hadharan watu tunashindwa hata kukaa baa unawaza hawa wote washanipigia ,watu wanajiua wanapata pressure unafikia mahali unamuona kama mwendazake kuwa kumuua dhambi ila wajuu akifanya saaafi
Duuh! Ni lazima yamekufika kooni mkuu, pole sana !
 
In the first place ndio alitakiwa awe wa kwanza kufika eneo la tukio.. Wanawake siku hizi wanabeba mzigo mkubwa rohoni kisa kulinda ndoa.. Wengi wanaishi kwa mateso ya kukosa mapenzi ya kweli lakini hawana jjnsi wanaogopa kuachika
wakati mwingine wanayataka wenyewe kwa kuamua kutafuta hela kuzidi wanaume na kuwadharau wanaume! ila sasa ukikubali kununuliwa chakula na mwanamke mhn! bora ukope benki mtamalizana utaachwa uchi kila sehemu. mwisho wasiku wavulana wa siku hizi wanapenda mseleleko mno inawezekana jamaa hakwenda kwa kuogopa gharama na alikuwa hana kitu.
RIP Mwanamke mzuri
 
Sasa angepatiwa msaada gani wa mapema kwa iyo wale waliokua wanamtoa walikua hawafanyi msaada. Au mume angeenda angeweza kuchana vyuma kwa mkono. Au angemtoa peke yake ki miujiza

Lawama zingine ni za kijinga
NO, THE BIG NO,
Mke wako, Partner wako anapata ajali wewe uko nyumbani? Kama uko around? Unless otherwise kama alikuwa mkoani, hata kama hakuwa na nauli angeomba akimbie haraka kwenye ajali.
Hata bodaboda nayo? Acha masihala wewe.
 
hivi rafiki wa Maunda (Mamama Koko) ambaye Maunda alienda kuhudhuria mazishi na baadae yeye kupatwa ajali alifariki kwa Ugonjwa au?
sababu inavyoonekana pia Maunda alikuwa kwenye panicking mode hata msibani alikuwa na bumbuwazi video moja nilimwona kwenye page ya Joyce kiria Instagram so labda mawazo ya mshtuko wa kifo cha rafiki yake na factors nyingine zilichangia all in all alitakiwa katika hali ya uchungu ule asiendeshe gari angekodi hata dereva.
 
NO, THE BIG NO,
Mke wako, Partner wako anapata ajali wewe uko nyumbani? Kama uko around? Unless otherwise kama alikuwa mkoani, hata kama hakuwa na nauli angeomba akimbie haraka kwenye ajali.
Hata bodaboda nayo? Acha masihala wewe.

Nimeacha je Angepona? Au angemtoa?
 
In the first place ndio alitakiwa awe wa kwanza kufika eneo la tukio.. Wanawake siku hizi wanabeba mzigo mkubwa rohoni kisa kulinda ndoa.. Wengi wanaishi kwa mateso ya kukosa mapenzi ya kweli lakini hawana jjnsi wanaogopa kuachika
Wamama wakiwa wajawazito wanateseka Sana lkn Cha ajabu, wanapenda kuzaa kweli
 
Back
Top Bottom