Mume wa Maunda Zoro ni mfano wa Wanaume wa hovyo wa Dar es Salaam

Mume wa Maunda Zoro ni mfano wa Wanaume wa hovyo wa Dar es Salaam

In the first place ndio alitakiwa awe wa kwanza kufika eneo la tukio.. Wanawake siku hizi wanabeba mzigo mkubwa rohoni kisa kulinda ndoa.. Wengi wanaishi kwa mateso ya kukosa mapenzi ya kweli lakini hawana jjnsi wanaogopa kuachika
hata kama alikuwa yupo SA? Mjifunze kuwa makini na uandishi wa siku hizi, mtu anaweza akatengeneza habari na kuficha details fulani, na kama huna akili utaingia kichwa kichwa kusapoti
 
Nimesikitishwa sana na Kifo cha Maunda Zoro, ... Ila nimesikitika zaidi kwa kuwa alikua akiishi na mtu wa hovyo sana.
kwa hiyo umelia sana! Pole bwana mdogo, ila punguza umbea taratibu hadi uuache kabisa
 
Duh! Kweli ndoa ndoano!
Tatizo watu wanadhan tunakaa kwenye ndoa kisa tunapenda ,mm mfano mashemeji zangu wamenipa connection mingi ni washkaji zangu kabisa ,wakwe wamenikatia hadi shamba kwa jina langu ,watoto wangu wanaishi nao (wao pia wanajua hii mke kimeo) xmas huwa wanaenda kula kwa wazaz wangu na kwao wamejaza mapicha yetu ya ndoa na wazazi wangu ,hata nimkate kofi mama yangu huyu hapa vya kusuruhisha ,janamke levi lishaliwa na kila mshikaj wangu ,ila tuna smart kids 4 na dna zote

zangu(nilikuwa nataman azae nje nipate sababu) NDOA ZINA WATU WAKE
 
Mbona sijakutukana nimekupa cheo chako, Mtu asiye na akili si mbumbumbu au tutusa? Maanake nyie hata kutawaza ni mpaka muambiwe na mama
Hata mimi sijakutukana mkuu😂.

Haya unayoongea ni kutokana na kwamba ulitoka kweny kum yeny mfanano wa pipa la pombe.

Ufukara unawatesa kiasi cha kumalizia stress zenu kwa watu.
 
hata kama alikuwa yupo SA? Mjifunze kuwa makini na uandishi wa siku hizi, mtu anaweza akatengeneza habari na kuficha details fulani, na kama huna akili utaingia kichwa kichwa kusapoti
Alikuwa Tuangoma Nyumbani sikuandika bila reference angalia mahojiano yake na waandiahi
 
Tatizo watu wanadhan tunakaa kwenye ndoa kisa tunapenda ,mm mfano mashemeji zangu wamenipa connection mingi ni washkaji zangu kabisa ,wakwe wamenikatia hadi shamba kwa jina langu ,watoto wangu wanaishi nao (wao pia wanajua hii mke kimeo) xmas huwa wanaenda kula kwa wazaz wangu na kwao wamejaza mapicha yetu ya ndoa na wazazi wangu ,hata nimkate kofi mama yangu huyu hapa vya kusuruhisha ,janamke levi lishaliwa na kila mshikaj wangu ,ila tuna smart kids 4 na dna zote

zangu(nilikuwa nataman azae nje nipate sababu) NDOA ZINA WATU WAKE
Pole sana mkuu
 
Vunga kaka
Maunda alitoka msibani..

Lakini baadae akapitia sehemu, umeiona ile video ya alivyovaa huko alipopitia.? Kavaa kigauni kifupi kapiga make up huku kakumbatiana na mwanaume anaimba na anaonekana alilewa..

Ukiiona hiyo video utapata majibu mengi sana..

Maana yake alibadilisha nguo alibadilishia wapi.? Alipakia make up wapi.?

Unaniacha nyumbani na watoto unaaga unaenda msibani, unapitia sehemu kulewa ukiwa na mwanaume, unarudi saa 4 ..

Wanaume tunapitia mengi sana..
 
Ondoeni hizo mentality, aliyepo jirani ndiye anaweza kutoa msaada wa haraka zaidi kuliko hata ndugu au mwenza. Nyumba inaungua Tegeta na wewe upo Mbagala, halafu eti mtu aje kulaumu kwamba mwenye nyumba alitakiwa awe wa kwanza kuwepo eneo la tukio! Aisee!
 
Mkuu mama yake anahusika vipi hapa? Tafadhali sana, naomba ufute hayo maneno yanayomhusisha mama yake.
Sifuti, fanya unalotaka kufanya.

Kwenye comment yangu aliyoijibu kwa kunitukana, sikuwa nimetukana yoyote sasa kwakua amenitukana sina muda wa kuanza kuchambua ni tusi gani nimtukane pia.
 
Mkuu mama yake anahusika vipi hapa? Tafadhali sana, naomba ufute hayo maneno yanayomhusisha mama yake.
Anahusika kwa kushindwa kumpa malezi mazuri kiasi cha kutukana watu wasiomkosea chochote, vita haichagui silaha.
 
Watu tumekuwa wepesi sana wa kuhukumu haraka haraka tukisikia uongo wowote unao anzishwa mitandaoni

Tatizo ni kwamba akifariki mtu tena akiwa maarufu kitu cha kwanza kabisa huwa kinakuwa ni kumtafuta wa kumbebesha lawama kwa hicho kifo, so kwa sababu tu jamaa hakufika eneo la ajali basi sababu imepatikana

Watu hawajui tu jinsi jamaa alivyopata tabu na Marehemu amemvumilia mengi sana sababu anampenda na kumjali

Kasumba ya marehemu asemwi vibaya ndio inayoficha ukweli hadi jamaa anaonekana mbaya

Ukweli ni kwamba Maunda alikua mrahibu wa madawa ya kulevya na wenzake kadhaa pale THT aikiwemo Hawa wa aliyeimba na Domo
Lakini pia Maunda ni mlevi wa kupindukia, yaani mlevi kweli kweli amempiga jamaa matukio mengi sana
Hadi anafariki kwenye drugs alikua ana in and out lakini pombe hakuwahi kuacha, hata sababu ya ajali haitajwi kabisa lakini ukweli ni kwamba alikua tila lila kwa pombe
Mind you aliaga anakwenda msibani lakini kaisha kulewa

Jamaa alimvumilia wakati wote akijitahidi kuhakikisha Marehemu anakua safi lakini watu hawajui haya yote wanaishia kumlaumu

Kifo ni kifo wala jamaa hajasababisha kwa namna yoyote ile
Jamaa hakika ni mtu mvumilivu sana na anayejali kwa jinsi alivyo mvumilia marehemu na kasoro zake za mihadarati na pombe

Imekua sasa ni kama fasheni akifa mtu maarufu basi ni lazima kuna uzembe......, sasa mnataka tufe makabwela tu ndio ionekane sahihi ebooo
Nakazia, mjumbe mmoja juu alisema inawezekana jamaaa katua mzigo anaumia kwa sababu watoto wamekosa mama.
Kuishi na mwenza msiyesikilizana, malaya,mlevi,mwenye wivu na gubu, ni mzigo mzito sana
 
Nimesikitishwa sana na Kifo cha Maunda Zoro, vibao vyake ni vya enzi zangu nilivipenda sana. Nakumbuka mchumba wangu wa enzi hizo akiniimbia Nataka niwe wako.

Ila nimesikitika zaidi kwa kuwa alikua akiishi na mtu wa hovyo sana. Ambaye mbali na kukaa nae miaka yote akimzalisha watoto watatu bila kufunga ndoa, pia hakuwahi kumjali.

Ukimsikiliza akihojiwa anasema alipigiwa simu mkewe kapata ajali, akaendelea kukaa Nyumbani huku akiwasiliana na watu. Anasema "MAMA akaniambia usitoke nikampigia RTO akasema ndio wanajaribu kumtoa, nampigia mdogo wangu aendee akafika baada ya kama dakika kumi akaniambia kafika ila bado wanahangaika kumtoa. Hatimaye wamemtoa kafariki."

Mwisho anasema kama angepatiwa huduma ya kwanza mapema angepona kwasababu kama kwa kuchelewa kupata Msaada. Wakati yeye alibaki Nyumbani akichat.
Wewe ndio mwanaume wa hovyo kabisa kuzaliwa katika hii dunia hii lawama za kijinga eti angekuwa wa Kwanza kufika halafu iweje? Sijawahi kuona mtu wa hovyo kama wewe
 
Maunda alitoka msibani..

Lakini baadae akapitia sehemu, umeiona ile video ya alivyovaa huko alipopitia.? Kavaa kigauni kifupi kapiga make up huku kakumbatiana na mwanaume anaimba na anaonekana alilewa..

Ukiiona hiyo video utapata majibu mengi sana..

Maana yake alibadilisha nguo alibadilishia wapi.? Alipakia make up wapi.?

Unaniacha nyumbani na watoto unaaga unaenda msibani, unapitia sehemu kulewa ukiwa na mwanaume, unarudi saa 4 ..

Wanaume tunapitia mengi sana..
Duuuuuh
 
Tatizo watu wanadhan tunakaa kwenye ndoa kisa tunapenda ,mm mfano mashemeji zangu wamenipa connection mingi ni washkaji zangu kabisa ,wakwe wamenikatia hadi shamba kwa jina langu ,watoto wangu wanaishi nao (wao pia wanajua hii mke kimeo) xmas huwa wanaenda kula kwa wazaz wangu na kwao wamejaza mapicha yetu ya ndoa na wazazi wangu ,hata nimkate kofi mama yangu huyu hapa vya kusuruhisha ,janamke levi lishaliwa na kila mshikaj wangu ,ila tuna smart kids 4 na dna zote

zangu(nilikuwa nataman azae nje nipate sababu) NDOA ZINA WATU WAKE
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2960][emoji2960]

Hahahaha nimecheka kimaku jioni hii[emoji119][emoji119]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo watu wanadhan tunakaa kwenye ndoa kisa tunapenda ,mm mfano mashemeji zangu wamenipa connection mingi ni washkaji zangu kabisa ,wakwe wamenikatia hadi shamba kwa jina langu ,watoto wangu wanaishi nao (wao pia wanajua hii mke kimeo) xmas huwa wanaenda kula kwa wazaz wangu na kwao wamejaza mapicha yetu ya ndoa na wazazi wangu ,hata nimkate kofi mama yangu huyu hapa vya kusuruhisha ,janamke levi lishaliwa na kila mshikaj wangu ,ila tuna smart kids 4 na dna zote

zangu(nilikuwa nataman azae nje nipate sababu) NDOA ZINA WATU WAKE
Mzee zaidi ya kukuzalia watoto ulitaka nini tena, na alivyo mjanja wote wa kwako. Huyo ni wa kwako
 
Back
Top Bottom