Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Ha haaa Ni rutherlanNa yeye kama nimemsikia akisema rutheland 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haaa Ni rutherlanNa yeye kama nimemsikia akisema rutheland 😂
hahaha!!!! For few to be immortal many must die.Anapofariki mtu maarufu(celeb) kwenye jamii hua inaonekana kama sio fair
Asa sijui hua wanatakiwa wafe akina nani ili ionekane Mungu anafanya fair.....
[emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anashangaza mnooo.Huyo mwanaume ni bwege au mtoto wa mama
Hapana aruke kama churaMsijitie ujuaji wa kijinga humu Jf, mumewe hakuwa karibu na tukio la ajali.
Psychologiacally unapopokea habari za tukio kama hilo na unaona hakuna uwezekano wa wewe kufika kwenye tukio haraka ni lazima ujaribu kupiga kwa kila aliyepo karibu ili kuwastress wafike kwenye tukio.
Mlitaka apae au?
Maunda kuna kipindi si alikuwa drugs addict pamoja na Hawa wa nitarejea wa PlatnumzMaunda alitoka msibani..
Lakini baadae akapitia sehemu, umeiona ile video ya alivyovaa huko alipopitia.? Kavaa kigauni kifupi kapiga make up huku kakumbatiana na mwanaume anaimba na anaonekana alilewa..
Ukiiona hiyo video utapata majibu mengi sana..
Maana yake alibadilisha nguo alibadilishia wapi.??? Alipakia make up wapi.?
Unaniacha nyumbani na watoto unaaga unaenda msibani, unapitia sehemu kulewa ukiwa na mwanaume, unarudi saa4 ..
Wanaumr tunapitia mengi sana..
Mwenyewe Maunda alikana kuwa drug addict, sema alikiri kwamba ni mlevi wa kutupwa.Maunda kuna kipindi si alikuwa drugs addict pamoja na Hawa wa nitarejea wa Platnumz
Endelea kujidanganya hivyo hivyo usitafute hela,endelea kujifarijiNyie si mnaangalia hela jamaa hela anazo kama alimwambia aache kuimba akakubali basi jua huyo mume wake sio kapuku halafu ukiangalia mda aliopata ajali unagundua kuna kitu hakipo sawa mke wa mtu saa nne hujarudi nyumbani upo bar kweli inamaana hawakuwa na mawasiliano mazuri
Endeleeni kuangalia wenye pesa matokeo yake ndio hayo.
HahahahaWewe mbumbumbu unapajua Ungindoni na Tuangoma? Au na wewe mama kakuambia uandike hivyo
Hiki ndicho ninachokiona..unawezakuta hapo ni kama jamaa kautua mzingo mzito mabegani.Mwanamke malaya ukimpenda mkaoana na akazaa kumuacha inakuwa kazi .ila kila anavyocheat hadharan watu tunashindwa hata kukaa baa unawaza hawa wote washanipigia ,watu wanajiua wanapata pressure unafikia mahali unamuona kama mwendazake kuwa kumuua dhambi ila wajuu akifanya saaafi
Kazi yake kuchat. Maunda kafa na mengi.
Msiendeshe vyombo vya moto mkiwa "mmelewa",hii itasaidia kuondoa lawama kama hizi,ajali ndogo ndogo na vifo visivyo na lazima..... TAFADHALI UKIJIONA UMELEWA USIENDESHE GARI/PIKIPIKI.Nimesikitishwa sana na Kifo cha Maunda Zoro, vibao vyake ni vya enzi zangu nilivipenda sana. Nakumbuka mchumba wangu wa enzi hizo akiniimbia Nataka niwe wako.
Ila nimesikitika zaidi kwa kuwa alikua akiishi na mtu wa hovyo sana. Ambaye mbali na kukaa nae miaka yote akimzalisha watoto watatu bila kufunga ndoa, pia hakuwahi kumjali.
Ukimsikiliza akihojiwa anasema alipigiwa simu mkewe kapata ajali, akaendelea kukaa Nyumbani huku akiwasiliana na watu. Anasema "MAMA akaniambia usitoke nikampigia RTO akasema ndio wanajaribu kumtoa, nampigia mdogo wangu aendee akafika baada ya kama dakika kumi akaniambia kafika ila bado wanahangaika kumtoa. Hatimaye wamemtoa kafariki."
Mwisho anasema kama angepatiwa huduma ya kwanza mapema angepona kwasababu kama kwa kuchelewa kupata Msaada. Wakati yeye alibaki Nyumbani akichat.
DuhMwenyewe Maunda alikana kuwa drug addict, sema alikiri kwamba ni mlevi wa kutupwa.
Dini na hadhi ndo zimesababisha hayaHata mimi nimeshangaa, ukifuatilia hiki kisa youtube unaweza kulia, mapaka sasa najiuliza kwa nini mke hakuondoka, hivo ana kipaji angeweza kuanza upya na kutengeneza pesa ambayo ingemsaidia kuishi na watoto wake
Ni toangoma na si twa ngomaHuyo jamaa anakaa Twa ngoma
😂😂Hapana aruke kama chura