Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
Tutamchangia wote..ndugu yetu wa Ukwee🤣mwenye jina lake Yuniki🌷Aseme tu ntachanga...dah🙌
Jana ulijua kunivunja mbavu🤣🤣🤣👋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutamchangia wote..ndugu yetu wa Ukwee🤣mwenye jina lake Yuniki🌷Aseme tu ntachanga...dah🙌
Umri wako tafadhali?Nimetoka tu nje ya geiti kununua mafuta ya kupika chakula, nikasikia gari ikipiga honi kuangalia ni mubaba muzuri ananiulizia wapi Kwa fulani , gari Kali nyie ananukia .
Eti dada samahani eti Kwa Fulani ni wapi? Nikamjibu sijui labda matoyo tuwaulize anakataa nikamwambia haya siku njema akadai naomba uje naomba unipe namba yako tafadhali nikikwama nikutafute .
Nikampa ili asinione mubaya basi nikaondoka ili kwenda tu hivi kadakika kamojaa akadai wewe mama ndio namba yangu mpenzi nikasema tena hii Kali .
Nikamuuliza tokea lini sisi wapenzi akadai tokea unipe namba mmh nikasema nimeposwa sitaki shari akasema hata Mimi nimeoa basi nikamwambia subiri niolewe . Tuwe pair akagoma akasema chasiri kizuri nikagoma bwana nampenda chotara sana .
Ni handsome na hajaoa nataka kutulia na huyu wa jf kanahela hakakazungu, kanapenda na mpenda humu jf yupo nanikweli .
Mtoa mada mmoja amedai tunatoa mada za kipuuzi sikuhizi hata chooni tu nikienda nasema sitawaliwi kuishi hii nchi sio yamarekani ni yetu
Soon atakuja na habari za ndoaAseme tu ntachanga...dah🙌
Anapenda ndoa kuliko hata kitimoto😋Soon atakuja na habari za ndoa
🤣🤣🤣🤣leo kichwa kimepoa...ananivamiaga huyo🤣Tutamchangia wote..ndugu yetu wa Ukwee🤣mwenye jina lake Yuniki🌷
Jana ulijua kunivunja mbavu🤣🤣🤣👋
Jiandae kuchangia 😅😅Anapenda ndoa kuliko hata kitimoto😋
Kaona jeshi limekamilika imebidi awe mpole🤣🤣🤣🤣👋🤣🤣🤣🤣leo kichwa kimepoa...ananivamiaga huyo🤣
Jeshi lipi Kwa mfano ni kwamba nimeona hakuna haja yakuwaka na watu hata siwajuiKaona jeshi limekamilika imebidi awe mpole🤣🤣🤣🤣👋
Anunue passo sitaki kubwa hicho tu kipasso mafuta elfu kumi kinaja tanki"Mubaba muzuri,gari kali nyie ananukia"
Unamuwaza ehee?
Akiongeza juhudi,unaliwa
[emoji23][emoji23]unanichekesha sana Unique FlowerAnunue passo sitaki kubwa hicho tu kipasso mafuta elfu kumi kinaja tanki
Unique FlowerJeshi lipi Kwa mfano ni kwamba nimeona hakuna haja yakuwaka na watu hata siwajui
Ni mume wa mwanamke mwenzio,unamshauri apite nae?Maisha mafupi
Pita nae!
😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23]unanichekesha sana Unique Flower
huyu binti hayuko sawa kabisa😂😂😂😂😂
ndo vijana mchangamke kumsaidia😂😂😂huyu binti hayuko sawa kabisa
huyo atatuongezea stress tu 😂ndo vijana mchangamke kumsaidia😂😂😂
amna akipata mtu wa kumliwaza atatulia, we jaribu tu uone😅huyo atatuongezea stress tu 😂
huyo akiona mbaba ananukia tu, kashampenda 😂 hafaiamna akipata mtu wa kumliwaza atatulia, we jaribu tu uone😅