Mume wa mtu sumu kweli?

Mume wa mtu sumu kweli?

Niwape story,niliwahi date na mume wa mtu ,tukaachana kwasababu tu ya kushift mkoa lakini tukawa tunaendelea na mawasiliano japo kwa mwezi tunaweza kuwasiliana Mara chache,uyu kipindi tunadate aliwahi omba picha za uchi,lakini sikuwahi mtumia!!!! Sasa si mnajua kuna kumisiana Leo kaomba tena picha za uchi jamani nimepanga ni google nimtumie.
U google vipi wakati nyuchi zako anazijua zote? We mtumie tu aridhike akutumie na madusko hayo
 
Si sumu mpaka na wewe ukiolewa wakuchukulie mume wako.. the feeling na maumivu utakayohisi..utasugua goti Kwa Mungu atakujibu mbona wewe ulikuwa unachukua wa wenzio?
 
Niwape story,niliwahi date na mume wa mtu ,tukaachana kwasababu tu ya kushift mkoa lakini tukawa tunaendelea na mawasiliano japo kwa mwezi tunaweza kuwasiliana Mara chache,uyu kipindi tunadate aliwahi omba picha za uchi,lakini sikuwahi mtumia!!!! Sasa si mnajua kuna kumisiana Leo kaomba tena picha za uchi jamani nimepanga ni google nimtumie.
Asee
 
Back
Top Bottom