Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Hata angekuwa na miaka 30; ngono ya kulazimisha ni ubakaji...acheni kushadadia tabia mbaya; na manyanyaso ya kijinsia...



Sio kwadunia ya sasa !
Na hujui ilikuwaje hapo awali back then !
 
Huyu dada ni mrembo sana na.nimekuwa nikivutiwa sana walivyokuwa wanaambatana na mumewe. Ibilisi ameshatia doa baya sasa. Kesi mbaya imefika polisi hakuna kupona.
 
Ile video ya Mrisho ipo jamani,hebu tupieni hapa.

Alibakwa ndo yule wa Ngasa ama mwingine?
 
Ile video ya Mrisho ipo jamani,hebu tupieni hapa.

Alibakwa ndo yule wa Ngasa ama mwingine?

huyo wa Ngasa ni mdogo wake pia na Flora..... Sio huyo aliebakwa lakini! Video ipoo ila kuweka apa mmhm naogopa ban miee
 
Ilikubaliwa mkuu,mbona iliachwa tukaicheki.Tunajikumbusha c unajua c vzr kufuta kumbukumbu.TUPIA mkuu
 
hiyo ndio dawa ya mashemeji kuhamia kwa dada zao pindi dada zao wanapoolewa despline safi sana
nishawai kum do mmoja hivi mpaka akaondoka maana nilikua nacheza miguu yote kama ronaldo
 
Kwa uzuri wa yule shemeji yake ningeshangaa sana kama angemuacha kwanza namshangaa amemchelesha sana!! Mtoto kaumbika yule dah
 
Miaka 30 jela? Majangari

Huyu dada ni mrembo sana na.nimekuwa nikivutiwa sana walivyokuwa wanaambatana na mumewe. Ibilisi ameshatia doa baya sasa. Kesi mbaya imefika polisi hakuna kupona.
 
Duuuuh anaweza akaponyoka......,ila kafanya kitu kibaya sana aiseee.Sijui kambikiri mwenyewe huyo binti???ila nimejifunza kitu
 
Kuna comment humu zikisomwa hata na shetani anatoka nduki.....................mtakuja kudindishia hata mabinti zenu kisa kafanana na mama yake..............hii ni hatari............
 
hiyo ndio dawa ya mashemeji kuhamia kwa dada zao pindi dada zao wanapoolewa despline safi sana
nishawai kum do mmoja hivi mpaka akaondoka maana nilikua nacheza miguu yote kama ronaldo

Safi sana mwanangu...Aminia.
 
Anaweza kuwa mrembo lakini hapakui chakula cha kutosha mume akashiba

Au analeta ishu za kilokole.....labda anamwambia jamaa, tufunge mwezi mzima ili tupate nguvu ya kumuimbia bwana tamasha lijalo....jamaa anashindwa kukataa, kumbe moyoni ananung'unika...."poa tu, hamna noma".

Ila hako kashemeji kama ni kale cha Mrisho Ngasa...sidhani kama kamebakwa, ila jamaa ashughulikiwe tu.... atakulaje shemeji yako ? kha...
 
Crime kubwa sana, ila dunia ya leo, tangu wanamme waanza kutamaniana wao kwa wao, sina shangazo tena zaidi ya hilo.

Tutake radhi wanaume Kongosho....kwani wanawake hawatamaniani? Kinachoharibu mambo ni ukaribu wa watu...halafu mnatengeneza feelings...then mnafanya kweli.
Ndio maana makabira mengine kuna watu hawatakiwi kabisa wakae karibu karibu iwe kwenye kilabu cha pombe au msibani. Wachaga wao ni unique...walikuwa wanawaachia baba zao wake. Hapo sijui nini kilikuwa kinaendelea
 
Last edited by a moderator:
Kuna comment humu zikisomwa hata na shetani anatoka nduki.....................mtakuja kudindishia hata mabinti zenu kisa kafanana na mama yake..............hii ni hatari............

hahahahahaha hakyanan nimecheka sana daaa ni mtazamo tuu
 

Mwanzoni kabla mambo hayajawekwa hadharani #F .M nikajua ni flora msoffe wa JF!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…