Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

TAMKO ni msukule wa gwajima wahi nyumbani haraka ua-upload hyo video halfu tuone ukweli wake pia usisahau sehemu ambayo wametaja tarehe ya leo kwenye hiyo clip.
 
Last edited by a moderator:
Kama unayosema ni kweli mbasha aende mahakamani kushitaki hao wazushi na ukweli ujulikane.
 
Hamjui tu.. Hamjui..! I feel happy kuona group la mijitu iliyokuwa imejipanga kuumeza UZUSHI ule. Real today nimejiona mjinga kiasi Cha kuamini UZUSHI. Nataka kuwahi desktop niupload video Yao nizidi kuipa mioyo Hii uchungu zaidi tukome kufuatilia mambo ya chupini. Mdume mzima unafuatilia mambo ya mwanaume mwenZako Ni kujidhalilisha.. I feel bad sio Wewe tu HATA mie. Watu Hawa Leo wamenipa somo kubwa sana.

Sasa wewe kuleta huu uharo ulikuwa unafuatilia mambo ya nani...???
 
siamini hata kidogo....nahisi wanataka kudanganya watu na kumaliza kimya kimya....
HUO NI UZUSHI
waseme tu wameamua kuua so
 
Nani ana shida ya kukudanganya Wewe?! Who are you Hadi mie sisi wote tuliokuwepo tuje hapa kukudanganya ili iweje..!? Watu bana..! Njoo HATA Jumapili ijayo utawakuta bana

Lete hiyo video bana....Una maneno mengi sana...
 
Kesho mtatujia na single ya vick kamata aombwa msamaha na mchumba wake wafunga ndoa kwa siri ha ha ha ha ha kweli bongo move nyingi.
 
Nani ana shida ya kukudanganya Wewe?! Who are you Hadi mie sisi wote tuliokuwepo tuje hapa kukudanganya ili iweje..!? Watu bana..! Njoo HATA Jumapili ijayo utawakuta bana

Kama ni kweli wapo kanisani mbasha,flora au gwajima mmojawapo angekuwa ameshajitokeza kwenye vyombo vya habari kukanusha haraka maana inawaalibia heshima kwa jamii
 
Kaingia chaka huyo nabii wao mzee w papuchii kila kukicha kashfa kula wke za wa2
 
Mambo mengine bhana, hivi zile 200bilion zitarudi? Yule aliemtukana mfadhili Kule bungeni imekwendaje?
 
jamaa aliingia tama za mwili kumti.a shemejie sasa anatafuta chaka la kujificha. SEGEREA inakusubiri kaka Emma. tena ulivyo mrembo lazima uolewe huko. Halafu mkeo ndo atahamia kwa Mhusika. By the way kwani Gwajima hana mke?
 
Wiki Hili mitandao, magazeti, na majukwaa ya watu wasio na KaZi wanaoishi Kwa kushiba majungu na umbea hasa inshu za Ndani ya nguo, wameshibishwa Bonge la Uongo unaohusiana na mambo ya kubaka hasa wakituhumu mume wa Mwimbaji huyu mashuhuri Flora Mbasha.

Wakiwa wenye Furaha Flora Mbasha na Mumewe wameonekana wakiimba Ndani ya Kanisa la Ufufuo na Uzima Kwa Firaha wakigongana Kwa staili ile Yao maarufu. Baadhi ya watu tulipigwa mshangao na shutuma kali kabisa juu Yao. Na bila kupoteza Muda Mara Baada ya Ibaada tuliwakimbilia Kujua kulikoni na kuwakuta wakicheka HATA huyo mbakwa mwenyewe yupo ana furaha zake. Tulipohoji kulikoni wakatuambia HATA Uvumi usio na ukweli juu ya mzee wa liliondo uliwafanya HATA viongozi wa Nchi kutimkia huko wakiamini kubugia kikombe Cha maji machafu yasoyochemshwa eti kutawaponya ukimwi, Nchi Hii maarufu ambayo Siasa na matukio ya uvumi Ndiyo yanayopewa kipaumbele na kuongoza jamii kubwa ya wajinga.

Hadi naondoka Kwenye viwanja hivi najiuliza maswali mengi bila majibu, Nani katengeneza Uvumi huu na Kwa nini?!?. Kama Ni Flora na Mumewe ili iweje au Ni Gia ya kuwapaisha Kwenye chati tena manake ukitaka Kuwa maarufu Kwenye Nchi ya wajinga jisingizie mambo ya chupini lazima utakamata Akili Za maelfu ya wajivuni. Kama ni Adui wa Flora WHY?!? ..

Nikajikuta najiapiza kutofuatilia ujinga na upuuzi Kama huu tena. Bora nifanye KaZi Kwa bidii kuifanya familia yangu iende Chooni sio kung'ang'ana na UZUSHI naonekana kuku tu..

RIP mama Zitto Kabwe..tuko pamoja na Wewe Kamanda Zitto..

mchepuko wangu masai dada umepita hapa?
 
Last edited by a moderator:
Ndg. Emmanuel Mbasha (Mume wa Flora Mbasha) kwa kumbaka shemejie hata akijiteteta kuwa mkewe alikuwa anatembea na Gwajima hataeleweka kwa jamii, na inaonekana ni namna ya kujisafisha tu.
Muombe mkeo msamaha, mkapime UKIMWI muendelee na maisha


Hawa ni wasanii tu wa Ze Comedy, chezeya nyege weye?....kila kukicha kupiga kelele na kumtaja Mungu bila sababu kupitia nyimbo zao za dini. Ikumbukwe binadamu yeyote anayejifanya ni mcha Mungu sana basi kuna kitu anakificha ila anatumia Mungu tu kurubuni watu/jamii na ndiyo maana mimi sizipendi hizi nyimbo za dini na wasanii wake. I will never look at muhubiri wa dini au muimbaji wa nyimbo za dini as a kioo cha jamii. Wote ni wasanii tu.
 
Back
Top Bottom